Mikakati ya elimu inaanzia kwenye vifaa
LICHA ya Serikali kupitia wizara ya elimu kutangaza elimu ya msingi bure, bado kuna baadhi ya shule za serikali zimekuwa zikitoza wazazi michango mbalimbali inayoleta kero.
Baadhi ya michango hiyo ni pamoja na michango ya masomo muda wa ziada (Tuition), mchango wa mlinzi wa shule na madawati.
Wazazi kwa kutaka watoto wao wapate elimu bora, wamekuwa wakikubali kulipa michango hiyo kwa viwango tofauti vya fedha kulingana na aina ya mchango na shule husika.
Mfano, kwa mwanafunzi wa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mikakati ya Remnant Academy kuinua elimu
ELIMU ni msingi wa maendeleo kote ulimwenguni na taifa lisilowekeza katika elimu ya watu wake, linajiandalia kaburi kwa sababu litashindwa kuendana na kasi ya maendeleo ya nyanja mbalimbali yanayotokea kote...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kata ya Ilala yataja mikakati kuboresha elimu
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Serikali na mikakati ya kuimarisha elimu nje ya mfumo rasmi
9 years ago
CCM BlogSHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...
10 years ago
Bongo523 Feb
Kama hali hii inaanzia vyuoni ufisadi hautakwisha
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao
9 years ago
Habarileo20 Nov
Shule yapigwa jeki vifaa vya elimu
TAASISI ya masuala ya jamii ya Vodacom Foundation imetoa msaada wa vifaa vya elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Chazinge A, Kisarawe mkoani Pwani. Vifaa hivyo ambavyo vimetolewa jana ni madaftari ya kuandikia na mikebe yenye vifaa vya kusomea somo la hisabati pamoja na kalamu.
9 years ago
MichuziVodacom Foundation yatoa msaada wa vifaa vya elimu Kisarawe
Akiongea wakati wa kukabidhi msaada wa vifaa hivyo kwa wanafunzi jana,Kaimu Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia...