Kama hatujajifunza kwenye uchaguzi uliopita, basi tunahitaji ‘profesa’
Shukrani zangu za kwanza ziende kwa Mwenyezi Mungu aliyenipa nguvu na baraka tele za kuiona siku ya leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)
Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]
The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Tunahitaji ukumbi wa kujadili soka kama biashara!
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Tunahitaji maridhiano Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu
MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Tunahitaji mwekezaji kwenye urais!
KWA jinsi viongozi wetu walivyoichezea na kuidhalilisha taasisi ya urais, nadiriki kupendekeza tutafute mwekezaji wa kigeni kutoka nje ili awekeze kama tulivyofanya kwenye sekta za uzalishaji wa viwanda, migodi na...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Khamis Kigwangallah: Tunahitaji fikra za ujana kwenye urais
JINA la Dk. Khamis Kigwangallah ambaye ni mbunge wa Nzega (CCM) si jina geni katika siasa za Tanzania. Jina hili katika siku za hivi karibuni limetajwa tajwa mara nyingi baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F49qdyK3cuI/VJm2rSNbabI/AAAAAAAAOnw/iruvh8VJsII/s72-c/DSC_3070.jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KAMA ANGELIJUA KESHO YAKE ANGESIMAMISHWA KAZI SIDHANI KAMA ANGEKUWEMO KWENYE HOTUBA YA JK
![](http://4.bp.blogspot.com/-F49qdyK3cuI/VJm2rSNbabI/AAAAAAAAOnw/iruvh8VJsII/s640/DSC_3070.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m7xcLI9M1a0/VJm2tII2NeI/AAAAAAAAOn4/AAFUCZ-rSho/s640/DSC_3069.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bRn8dqEhWM/VJm22qu7xTI/AAAAAAAAOoA/F2WU-EOqlwk/s640/DSC_3827.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Jan
KAMA KWELI BASI KILA LA KHELI SAMATTA
HUU utakuwa ni mwaka wa neema kwa mshambuliaji Mbwana Samatta wa TP Mazembe kwa kuwa timu nne za Ulaya zimeonyesha nia ya kumchukua.Habari za uhakika zimelifikia gazeti hili kuwa, timu nne kati ya hizo ambazo ni kutoka katika nchi za Ufaransa na Italia, zimeonyesha nia ya kufanya kazi na mshambuliaji huyo Mtanzania.
“Kweli tunayajua majina ya timu nne, kumekuwa na mawasiliano kupitia meneja wake Tanzania pamoja na uongozi wa TP Mazembe,”...