Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji mwekezaji kwenye urais!

KWA jinsi viongozi wetu walivyoichezea na kuidhalilisha taasisi ya urais, nadiriki kupendekeza tutafute mwekezaji wa kigeni kutoka nje ili awekeze kama tulivyofanya kwenye sekta za uzalishaji wa viwanda, migodi na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Khamis Kigwangallah: Tunahitaji fikra za ujana kwenye urais

JINA la Dk. Khamis Kigwangallah ambaye ni mbunge wa Nzega (CCM) si jina geni  katika siasa za Tanzania. Jina hili katika siku za hivi karibuni limetajwa tajwa mara nyingi baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kama hatujajifunza kwenye uchaguzi uliopita, basi tunahitaji ‘profesa’

Shukrani zangu za kwanza ziende kwa Mwenyezi Mungu aliyenipa nguvu na baraka tele za kuiona siku ya leo.

 

10 years ago

Mwananchi

JK awachanganya waliojitokeza kwenye urais

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa atakayekuwa mgombea wake wa urais baadaye mwaka huu bado hajajitokeza mpaka sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yazuia wagombea urais kwenye midahalo

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM), kiko katika mchakato wa kumpata mgombea urais na mwenyekiti wake mpya, kimepiga marufuku makada kushiriki katika midahalo yoyote hadi kitakapompata mgombea mmoja.

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini

Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini.

 

10 years ago

Michuzi

HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS

Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAKIGOMA WAKESHA WAKIMSUBIRI MWIGULU NCHEMBA ILIWAMDHAMINI KWENYE MBIO ZA URAIS NCHINI TANZANIA


Ndugu Mwigulu Nchemba mgombea Urais ndani ya CCM akionesha Orodha ya WanaCCM waliomdhamini mkoa wa Kigoma hii leo.Mwigulu Nchemba akisalimiana na WanaCCM walioamua kwa dhati kumdhamini iliaweze kupitishwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Baadhi ya Wadhamini wa Mwigulu Nchemba hapa Kigoma,Wadhamini hawa wametumiza Zaidi ya Masaa 7 kumsubiri Mwigulu Nchemba aliyekuwa akitokea Mkoa wa Kagera.Awali walitangaziwa kuwa Mwigulu atawasili saa 7...

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS‏


Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM.
HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM UTANGULIZI: Ndugu viongozi, wana-CCM na Watanzania wenzangu; Kwanza nianze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani