Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji ukumbi wa kujadili soka kama biashara!

Mwishoni mwa mwaka jana kulifanyika kongamano kubwa la Soka la Soccerex mjini Durban kwenye Uwanja wa Moses Mabhida.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kama hatujajifunza kwenye uchaguzi uliopita, basi tunahitaji ‘profesa’

Shukrani zangu za kwanza ziende kwa Mwenyezi Mungu aliyenipa nguvu na baraka tele za kuiona siku ya leo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea katika ukumbi wa Diamond Jubilee

PG4A1676

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua wakati alipoingia kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee  jijini Dar es salaam  kutembelea maonyesho ya biashara ya Cyria  Mei 6, 2015. Kushoto ni balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annanna kulia ni Mratibu wa maonyesho hayo, Fetian Abdulal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1702

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annan  wakikata keki wakati Waziri Mkuu alipotembelea maonyesho ya Biashara ya Syria  kwenye ukumbi wa Diamond...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee

katibu_02

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015,  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).

katibu_03

katibu_05 fungua maonyesho1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya  bidhaa za China 2015  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.

katibu_06 fungua maonyesho00

katibu_04 tembelea

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...

 

10 years ago

Mwananchi

Manchester United yaharibu biashara ya mabanda ya soka

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail la Uingereza hadi Mei mwaka 2012 Klabu ya Manchester United ndiyo ilikuwa klabu kinara kwa idadi kubwa ya mashabiki duniani ikifuatiwa na klabu ya Barcelona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

10 years ago

Habarileo

‘Jihadharini na wanaotumia injili ya Mungu kama biashara’

KATIBU Mkuu wa Kanisa la EAGT Tanzania, Brown Mwakipesile amewataka waumini kujihadhari na watu wanajidai kuwa watumishi wa Mungu ambao wanaitumia injili kama biashara.

 

10 years ago

Mwananchi

Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida

Hatimaye wafanyabiashara wa Kariakoo wamefungua maduka yao baada ya kufikiwa makubaliano kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) ya kuunda kamati ya pamoja itakayoshughulikia matatizo yao.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MWANA MFALME WA UINGIREZA PRINCE CHARLES NA KUJADILI VITA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI UINGEREZA.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwana mfalme wa Uingereza Prince Charles wakati wa mkutano uliojadili  vita dhidi ya biashara haramu ya wanyamapori huko Clarence House London nchini Uingereza.Mkutano huo uliandaliwa na Prince Charles.(picha kwa hisani ya Clarence House)

 

11 years ago

GPL

MATAIFA 31 KUSHIRIKI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM (MAARUFU KAMA SABASABA)

MKURUGENZI Mkuu wa  Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacquiline Maleko, akizungumza na waandishi wa haabari kuhusiana na kuingia Ubia na kampuni  ya Mawasiliano ya Vodacom, Kama mdhamini Mkuu wa Mawasiliano wakati wa maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam yatakayo anza 28 juni na kumalizika julai 8 mwaka huu. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani