Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama mambo yapo hivi ishakuwa nongwa

Wakati tunasoma huko vijijini, tulikuwa na vipindi vya midahalo. Inaletwa mada moja, kisha pande mbili au zaidi zinaijadili mada kwa mitazamo tofauti (hasi au chanya). 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU


Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper  habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.

Weekend yako fanya kama unasahau stress za schedule vile na tupieni.

 

11 years ago

Michuzi

NIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE

 Waziri wa mambo ya ndani ya  nchi Mathias Chikawe  akiwa anafunga mkutano wa wafanyakazi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa  uliokuwa unafanyika ndani ya hotel ya snowcrest jiji Arusha.  washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIda wakiwa wanamsikiliza waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hotel ya snowcrest waziri akiwa anapena mkono na mkurugenzi mara baada ya kutoa  risala ya kufunga mkutano huo Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

UPO KAMA DUME LA BATA FANYA HIVI

MUHALI gani mabibi na mabwana nina imani tumeuanza mwaka vizuri, najua mmenisubiri kwa hamu kutaka kujua nimekuja na mapya gani. Jamani hakuna jipya chini ya jua, zaidi ya kukumbushana tulivyo visahau. Leo  nami siwezi kuzipunguza raha zenu bali kuziongeza.
Nashukuru kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha ya jando na unyago. Kutokana na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Zamaradi:Hivi Unahisi Kama Nisingekuwa Mtangazaji Ningekuwa Nani!!???

Mtangazaji  wa kipindi bora kabisa hapa nchi cha maswala ya filamu, kipindi cha “TAKEONE” kinachorushwa na kituo cha televisheni cha CLOUDSTV,  Zamaradi Mtetema, ambae pia ni muandaaji wa filamu, aliwauliza mashabiki wake kupitia mtandaoni kuwa asingekuwa mtangazaji  wanahisi angefanya kazi gani, majibu ya baadhi ya watu ndio yamenifanya swali hili nililete tena hapa kwenu.

Mbali na watu kadhaa kusema angekuwa “MODO”,wengi walisema angekuwa mwanasheria, polisi au wakili....labda ni kutokana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Alivyosema, Irene Uwoya Ameanza Hivi Kuyanika Maisha Yake

Kutoka kwenye ukursa wake mtandaoni,staa mrembo Irene Uwoya ameanza hivi;

Naitwa Irene pankras uwoya...ni mtoto wakwanza katika familia ya mzeee uwoya yenye watoto 2 na mdogo wangu wakuite aitwae babu!!!nimezaliwa dodoma hospital nimeishi dodoma nikasoma shule ya msimgi mlimwa la kwanza mpaka la tatu...Wazaz wangu wakaa mishiwa Dar kikazI mama yangu akiwa ofisi ya waziri mkuu huku baba yangu akiwa pilot na pia ofisi ya nishat na madini nikaamia shule ya msingi bunge na kumaliza la...

 

10 years ago

CloudsFM

Hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.?????

Hey Ladies hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.????? - Post picha yako kwenye page ya Facebook ya Fiesta ( https://www.facebook.com/pages/Fiesta/339879459495368) kisha hakikisha inapata likes nyingi kuliko nyingine zote - then utapata nafasi ya kuwa mmoja wa washindi watano wa tiketi za Fiesta After Party.

 

9 years ago

GPL

KUMTAFUTIA MCHUMBA ISIWE NONGWA

ASSALAAM aleikum na Bwana Yesu asifiwe wapenzi wasomaji wangu. Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi za kulijenga taifa letu hili ambalo kwa sasa linapita kwenye mchakato mzito wa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Nafurahishwa na jinsi mnavyoungana na mimi kunisoma na kunirudishia maoni yenu. Hakika nitaendelea kuwaelimisha kwa kila ninachoona kinafaa kuwafikia ili kuwekana sawa ndani ya maisha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani