Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda chipukizi CCM ajiuzulu

KAMANDA wa Chipukizi wa CCM, Mkoa wa Rukwa, Anyosisye Kiluswa ametangaza kujiuzulu rasmi nyadhifa zake ndani ya chama hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu

Kamanda wa polisi katika mji wa Ferguson, Marekani amejiuzulu baada ya ripoti ya shirikisho kulaumu kitengo chake kina ubaguzi.

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti kuongoza chipukizi wa CCM Taifa

WATOTO wa kike, Nimka Lameck (12) na mwenzake Pili Hassan Suluhu (10), wamechaguliwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa kushika nyadhifa ya Mwenyekiti wa Taifa pamoja na Makamu Mwenyekiti kwa kipindi cha miaka mitano ijayo hadi 2018.

 

11 years ago

Mwananchi

Diwani wa CCM Mbulu ajiuzulu

Diwani maarufu wa CCM wa Kata ya Endamilay, wilayani Mbulu Mkoa wa Manyara, Gesso Bajuta ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mwenyekiti CCM nusura ajiuzulu

UCHAGUZI wa nafasi ya Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora nusura usababishe Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapa, Moshi Nkonkota kujiuzulu nafasi hiyo endapo Naibu huyo asingepita.

 

9 years ago

StarTV

M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.

Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.

Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...

 

10 years ago

Michuzi

chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji

 Gwaride kazini Ukakamavu na nidhamu Heshima kulia Hakuna mchezo hapa Kiapo cha utii baada ya hatua 15 mbele.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI

 Chipukizi wa UVCCM wakipia saluti huku wakiimba  wimbo wa Taifa…

 

10 years ago

Vijimambo

CHIPUKIZI WA UVCCM WAJIFUA VIKALI TAYARI KWA KILELE CHA MIAKA 38 YA CCM LEO

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mratibu wa Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM, Emmanuel Nchimbi, walipokuwa wakikagua mazoezi ya vijana wa Chipukizi wa CCM ya paredi na halaiki kwa ajili ya Maadhimisho ya Kilele cha Miaka 38 ya CCM, yatakayofanyika Kitaifa leo kwenye Uwanja wa majiMaji mjini Songea. Vijana wa Chipukizi wa CCM waliopo katika mazoezi ya halaiki na paredi kwa ajili ya Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM mjini Songea, wakikipiga saluti wakati wa mazoezi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani