Kamanda chipukizi CCM ajiuzulu
KAMANDA wa Chipukizi wa CCM, Mkoa wa Rukwa, Anyosisye Kiluswa ametangaza kujiuzulu rasmi nyadhifa zake ndani ya chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu
11 years ago
Habarileo05 Jan
Mabinti kuongoza chipukizi wa CCM Taifa
WATOTO wa kike, Nimka Lameck (12) na mwenzake Pili Hassan Suluhu (10), wamechaguliwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa kushika nyadhifa ya Mwenyekiti wa Taifa pamoja na Makamu Mwenyekiti kwa kipindi cha miaka mitano ijayo hadi 2018.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Diwani wa CCM Mbulu ajiuzulu
11 years ago
Habarileo11 Aug
Mwenyekiti CCM nusura ajiuzulu
UCHAGUZI wa nafasi ya Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora nusura usababishe Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapa, Moshi Nkonkota kujiuzulu nafasi hiyo endapo Naibu huyo asingepita.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VuN3fY3gEcU/default.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.
Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.
Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FZdGa16gung/VM6g0zmPF5I/AAAAAAAHA1M/m5mX28zU6G8/s72-c/0L7C2343.jpg)
chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZdGa16gung/VM6g0zmPF5I/AAAAAAAHA1M/m5mX28zU6G8/s1600/0L7C2343.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U2VCUAD6meo/VM6hDwTDUvI/AAAAAAAHA1c/_J35IgVpA_o/s1600/0L7C2348.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V6rN7WXzp9A/VM6hjkDVvmI/AAAAAAAHA1s/EGZZliuKXoM/s1600/0L7C2356.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5JJjyfpfB_E/VM6hYSGLyVI/AAAAAAAHA1k/267iuRviqxY/s1600/0L7C2360.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S_7YabJzTKk/VM6hvL5mP-I/AAAAAAAHA10/06qN_0CJN9c/s1600/0L7C2377.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-SyJbqDYcgWo/VM6bxxnZV1I/AAAAAAAHAzA/Fs7pCPEQlXY/s1600/0L7C2212.jpg)
CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI
10 years ago
Vijimambo01 Feb
CHIPUKIZI WA UVCCM WAJIFUA VIKALI TAYARI KWA KILELE CHA MIAKA 38 YA CCM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lgjc1F6EOcg/VMzWL_mbifI/AAAAAAAAstg/sY52JBsaogc/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-NhE4WK_mnHQ/VMzWKBgLFII/AAAAAAAAstQ/Bme3nxCos4c/s1600/2.jpg)