Diwani wa CCM Mbulu ajiuzulu
Diwani maarufu wa CCM wa Kata ya Endamilay, wilayani Mbulu Mkoa wa Manyara, Gesso Bajuta ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sIavZzwvBxc/U4awJ6hoygI/AAAAAAAFl-8/maYOjDmQ1_U/s72-c/9.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI MBULU MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-sIavZzwvBxc/U4awJ6hoygI/AAAAAAAFl-8/maYOjDmQ1_U/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i2h7v8m-E1M/U4awum5kT4I/AAAAAAACias/M3aQe8D2k40/s1600/6.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Aug
Kamanda chipukizi CCM ajiuzulu
KAMANDA wa Chipukizi wa CCM, Mkoa wa Rukwa, Anyosisye Kiluswa ametangaza kujiuzulu rasmi nyadhifa zake ndani ya chama hicho.
11 years ago
Habarileo11 Aug
Mwenyekiti CCM nusura ajiuzulu
UCHAGUZI wa nafasi ya Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora nusura usababishe Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapa, Moshi Nkonkota kujiuzulu nafasi hiyo endapo Naibu huyo asingepita.
9 years ago
StarTV20 Aug
M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.
Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.
Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Diwani CCM lawamani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata Chimala, wilayani Mbarali, Mbeya kimemtaka diwani wa kata hiyo, Hussen Vayahe (CCM), kurudisha matofali zaidi 2,500 mali kata hiyo anayodaiwa kuyachukua na kujengea...
10 years ago
Vijimambo24 May
MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA UNAIBU KATIBU MKUU WA CCM
Mwigulu Nchemba amejiuzulu nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu CCM ili kupisha agombee Urais na akishindwa atarudia nafasi ikimpendeza M/kit.Nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM iliyokuwa imashikiliwa na Mwigulu Nchemba imechukuliwa na ndugu Rajab Luwavi.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Diwani CCM mbaroni Singida
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Diwani wa CCM asusia kikao
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Diwani wa CCM aingia matatani