Kamati ya Sitta yaiundia Ukawa zengwe la Katiba
>Kikao cha mashauriano kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kimeamua kuwa Bunge hilo liendelee kama kawaida Agosti 5, mwaka huu licha ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vyake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen24 Jul
Will Sitta bring Ukawa back to the Katiba Assembly?
The 30-member consultative committee formed last week by chairman of the Constituent Assembly (CA), Mr Samuel Sitta, begins its two-day sitting in Dar es Salaam today in the hope of ending a stalemate in the ongoing constitution writing process.
10 years ago
Vijimambo26 Jan
Sitta, Lukuvi, Chiza wapigwa zengwe
Wamo pia Simbachawene, Kilango, Dk. Mwakyembe aliliwa Uchukuzi.![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr.JK-26Jan2015.jpg)
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi, yamekosolewa na wadau mbalimbali, wengi wakilalamikia kuondolewa kwa Dk. Harrison Mwakyembe, kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia wametilia mashaka utendaji wa Samuel Sitta aliyehamishiwa Uchukuzi kutoka Ushirikiano wa Afrika Mashariki na William Lukuvi aliyehamishwa kutoka Ofisi ya waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr.JK-26Jan2015.jpg)
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi, yamekosolewa na wadau mbalimbali, wengi wakilalamikia kuondolewa kwa Dk. Harrison Mwakyembe, kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia wametilia mashaka utendaji wa Samuel Sitta aliyehamishiwa Uchukuzi kutoka Ushirikiano wa Afrika Mashariki na William Lukuvi aliyehamishwa kutoka Ofisi ya waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge...
11 years ago
TheCitizen25 Jul
Katiba Assembly 'to go on without Ukawa,' says Sitta team after Mbowe, Lipumba skip 'peace talks'
>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]
Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Zengwe la Ukawa
JOB Yustino Ndugai (55), amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa vigezo maalu
Mwandishi Wetu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s72-c/a652Samuel-Sitta.jpg)
SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s1600/a652Samuel-Sitta.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Feb
‘Zengwe’ la posho lazidi kulizonga #Bunge la #Katiba
Wabunge mbalimbali walisikika leo asubuhi wakisema kuwa kiwango hicho cha Sh 220,000 ni kidogo sana, hali inayofanya washindwe kumudu gharama za maisha mjini Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRW5Z5zK*fG-G*3yOjWx9CAjLntPUPxmrypGRWyFi4dzXzoXB-F9f1g03Izy20-G8VzQgUrVq9klsjrxubXPTKU/BackAmani.jpg?width=650)
ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!
Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania