Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta, Lukuvi, Chiza wapigwa zengwe

Wamo pia Simbachawene, Kilango, Dk. Mwakyembe aliliwa Uchukuzi.
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi, yamekosolewa na wadau mbalimbali, wengi wakilalamikia kuondolewa kwa Dk. Harrison Mwakyembe, kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Pia wametilia mashaka utendaji wa Samuel Sitta aliyehamishiwa Uchukuzi kutoka Ushirikiano wa Afrika Mashariki na William Lukuvi aliyehamishwa kutoka Ofisi ya waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waandishi ‘wapigwa zengwe’ lingine la kuwabana bungeni

Ofisi ya Bunge, imeweka utaratibu mpya kwa waandishi wa habari watakaohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Sitta yaiundia Ukawa zengwe la Katiba

>Kikao cha mashauriano kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kimeamua kuwa Bunge hilo liendelee kama kawaida Agosti 5, mwaka huu licha ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vyake.

 

10 years ago

GPL

ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!

Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Zengwe la Ukawa

JOB Yustino Ndugai (55), amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa vigezo maalu

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

ZENGWE MJENGO WA DIAMOND!

WAANDISHI WETU SIKU chache baada ya sehemu ya ukuta wa uzio wa mjengo wa msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuanguka, mtaalam wa majengo aliyejitambulisha kwa jina la Injinia Stuart Daniel ameupiga zengwe akidai licha ya kuonekana kuwa na nakshinakshi nyingi, lakini ni dhaifu na unaweza kudondoka. Akizungumza na Gazeti la Amani mwanzoni mwa wiki hii  baada ya nyota huyo kutupia picha za uzio wake...

 

10 years ago

Vijimambo

Pinda asukiwa zengwe

  Tuhuma zabuniwa dhidi yake
  Lengo ni kupunguza nguvu zake Urais 2015Mkakati wa kumdhibiti Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, katika mbio za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015, umeelekezwa kwa jamii ya wakulima na wafugaji hususani waliopo mikoa ya kanda ya Ziwa Victoria.

Hatua hiyo inadaiwa kufikiwa katika mkutano ulioratibiwa na Chama cha Wakulima wa Pamba (Tacoga) na kufanyika juzi katika ukumbi wa Benki Kuu (BoT) jijini Mwanza.

Pamoja na kulenga ajenda za changamoto zinazowakabili wakulima, wafugaji...

 

10 years ago

TheCitizen

Improve horticulture: Chiza

>The government yesterday challenged players in the Tanzanian horticulture industry to consider adding value to their products.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda aundiwa zengwe UVCCM

MIZENGWE ya urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inazidi kupamba moto huku makundi ya wapambe wa makada wanaotajwa kuitaka nafasi hiyo, yakipita huku na kule kuchafuana kwa...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI AUNDIWA ZENGWE ZITO

Na Mwandishi Wetu MTEULE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, Dk.John Pombe Magufuli, anaundiwa zengwe zito na wapinzani wake kisiasa baada ya kubaini kuwa watapata taabu kubwa kuibuka na ushindi katika patashika hiyo itakayofanyika Oktoba mwaka huu....soma zaidi===>http://bit.ly/1fiBy8M

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani