Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi ‘wapigwa zengwe’ lingine la kuwabana bungeni

Ofisi ya Bunge, imeweka utaratibu mpya kwa waandishi wa habari watakaohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Sitta, Lukuvi, Chiza wapigwa zengwe

Wamo pia Simbachawene, Kilango, Dk. Mwakyembe aliliwa Uchukuzi.
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi, yamekosolewa na wadau mbalimbali, wengi wakilalamikia kuondolewa kwa Dk. Harrison Mwakyembe, kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Pia wametilia mashaka utendaji wa Samuel Sitta aliyehamishiwa Uchukuzi kutoka Ushirikiano wa Afrika Mashariki na William Lukuvi aliyehamishwa kutoka Ofisi ya waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Waandishi wa habari za Bunge wapigwa ‘stop’

Waandishi wa habari za Bunge la Katiba wamezuiwa kuingia ndani ya viwanja vya Bunge wakati semina ya wajumbe wa Bunge hilo Maalumu zikiendelea

 

10 years ago

GPL

ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!

Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...

 

10 years ago

Michuzi

Waandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge

Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Itifaki wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari kuhusu kuimarisha Uandishi wa Habari za shughuli za Bunge iliyofanyika tarehe 6 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa African Dreams Conference mjini Dodoma. Kulia ni Mshauri wa mambo ya Kiufundi toka Shirika la UNDP, Bi. Anna Kochannesyan.Mhariri Mtendaji Jamhuri Media Limited, Bw. Deodatus Balile akitoa mada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizengwe yazidi kwa waandishi bungeni

WAANDISHI wa habari wanaoripoti habari za Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini hapa wanazidi kukumbana na vikwazo, hivyo kushindwa kufanya kazi zao kwa uhuru. Kikwazo cha kwanza...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

11 years ago

Habarileo

Basi lingine laua 3, lajeruhi 11

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasAjali nyingine ya basi, imesababisha vifo vya watu watatu, huku wengine 11 wakijeruhiwa mkoani Arusha.

 

11 years ago

GPL

SHAMBULIO LINGINE LAUA 10 MPEKETONI

Baadhi ya wananchi wakishuhudia miili ya wenzao waliowauwa katika shambulio la usiku wa kuamkia jana Mpeketoni. Pikipiki, magari na hoteli baada ya kuchomwa moto na kundi la Al Shabaab usiku wa kuamki jana kabla ya shambulio la leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani