ZENGWE MJENGO WA DIAMOND!
![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3mZv6YnFzBpLdGARY0tyfVZC*CB6Dc2Qrn0GHjtrA2CixTKYkoTaZEWu6ndns2Kk9jNa*wWF*7E--sx07iSxAj/a.gif?width=650)
WAANDISHI WETU SIKU chache baada ya sehemu ya ukuta wa uzio wa mjengo wa msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuanguka, mtaalam wa majengo aliyejitambulisha kwa jina la Injinia Stuart Daniel ameupiga zengwe akidai licha ya kuonekana kuwa na nakshinakshi nyingi, lakini ni dhaifu na unaweza kudondoka. Akizungumza na Gazeti la Amani mwanzoni mwa wiki hii baada ya nyota huyo kutupia picha za uzio wake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuS38NfMJ6mj2tf-eBIWaptlG0HPBqcNFOI5tz-EgjoHiM-0l-VaXrtMrL8MwCpWdrqDhYJ5j0HL5P5WU9AJ0z-/111.jpg?width=650)
THAMANI MJENGO WA DIAMOND BALAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRW5Z5zK*fG-G*3yOjWx9CAjLntPUPxmrypGRWyFi4dzXzoXB-F9f1g03Izy20-G8VzQgUrVq9klsjrxubXPTKU/BackAmani.jpg?width=650)
ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Zengwe la Ukawa
JOB Yustino Ndugai (55), amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa vigezo maalu
Mwandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo25 Oct
Pinda asukiwa zengwe
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mizengo%20Pinda-October25-2014.jpg)
Hatua hiyo inadaiwa kufikiwa katika mkutano ulioratibiwa na Chama cha Wakulima wa Pamba (Tacoga) na kufanyika juzi katika ukumbi wa Benki Kuu (BoT) jijini Mwanza.
Pamoja na kulenga ajenda za changamoto zinazowakabili wakulima, wafugaji...
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Pinda aundiwa zengwe UVCCM
MIZENGWE ya urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inazidi kupamba moto huku makundi ya wapambe wa makada wanaotajwa kuitaka nafasi hiyo, yakipita huku na kule kuchafuana kwa...
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Ivo afanyiwa zengwe Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imemtema kipa wake Ivo Mapunda, huku ikielezwa kuwa mkongwe huyo ameondoka katika timu hiyo baada ya kusukiwa zengwe ndani ya miamba hiyo.
Ivo alitua Simba Desemba mwaka juzi akitokea Gor Mahia ya Kenya, likiwa ni pendekezo la aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic na kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu uliomalizika Mei mwaka huu.
Baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga,...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
MNH imenizushia ‘zengwe’-Dk Rashid
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Spika Kificho aundiwa zengwe
MTAFARUKU wa aina yake umejitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao vilevile ni wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, baada ya waraka unaodaiwa kuwa wa kughushi kukamatwa...