KAMATI YA UCHAGUZI DMV: TAMKO RASMI
“Kwa wanaDMV: Inaelekea kumebakia suitafahamu au tafsiri fulani kuhusu matokeo ya uchaguzi wa DMV 2014 kufuatia takwimu za kura tulizotoa na kuwasilisha kwa bodi ya DMV.
Tamko hili linaweka wazi mshindi katika kila nafasi iliyogombaniwa. Hivyo kwa mujibu wa matokeo ya kura na wa katiba, wafuatao ndiyo viongozi wapya wa jumuia yetu kwa miaka miwili ijayo:RAIS- Iddy Sandaly
MAKAMU WA RAIS - Harriet Shangarai
KATIBU- Saidi Mwamende
MAKAMU WA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Jul
MH.BALOZI MULAMULA AZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA DMV NA KAMATI YA UCHAGUZI
![IMG_8020](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/07/img_8020.jpg?w=714)
![IMG_7900](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/07/img_7900.jpg?w=714)
11 years ago
Michuzi22 Jul
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
11 years ago
GPLKAMATI YA BODABODA DAR YATOA TAMKO KUZUIWA KUINGIA MJINI
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI NA MAPAMBO YA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV
Kamati ya maandalizi na mapambo ikipata picha ya pamoja baada ya kupamba ukumbi wa Oxford uliopo Lanham, Maryland katika kujiandaa kusherehekea kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. Panapo majaaliwa yake Mola, kesho tarehe 25 Oktoba, 2015; Watanzania wataelekea kwenye visanduku vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu ambao wachunguzi wengi wa kisiasa wameuita kuwa ni uchaguzi wa kihistoria. […]
The post TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. appeared first on Mzalendo.net.