Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Uongozi kupanga mashambulizi

>Hatima ya shughuli gani itaanza kufanyika katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linalotarajiwa kuanza tarehe 5 mwezi huu, itajulikana kesho baada ya Kamati ya Uongozi kukutana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta avunja Kamati ya Uongozi

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa awali wa nafasi tano za Kamati ya Uongozi ili kuifanya kamati hiyo kuwa na uwakilishi mpana.

 

11 years ago

Mwananchi

Samuel Sitta atengua Kamati ya Uongozi

Hatimaye Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa wajumbe watano na Kamati ya Uongozi na kuteua wajumbe wapya wa kamati hiyo, akiwapo Mwenyekiti wa Kundi la Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe na Waziri wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar kutoka CUF, Abubakar Hamis Bakari.

 

11 years ago

Michuzi

SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI

Mwenyekiti wa Bunge la Maalum la Katiba Mhe. Samwel Sitta, akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha  Bunge  hilo  mjini Dodoma jana , Kufanya  tathmini ya vikao vya Kamati za Bunge hilo vinavyoendelea, ambapo wenyeviti wa Kamati hizo walionyesha kuridhishwa kwao na  hatua  wanayoendelea  nayo katika Ngazi ya kamati. Picha na Owen Mwandumbya

 

10 years ago

Michuzi

Kamati ya Uongozi ya Bunge yakutana mjini dodoma leo

Mweneykiti wa Bunge Mhe. Mussa Azzan Zungu (kulia) akiendesha kikao cha Kamati ya Uongozi mara baada kuahirisha kikao cha Bunge. Hapa anatoa ufafanuzi kwa baadhi mambo yalijitokeza ambapo pamoja na mambo mengine amesema taarifa ya IPTL itakabidhiwa kwa Waziri Mkuu naye ataikabidhi kwa Spika wa Bunge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. William Lukuvi (Mb) (kulia) akifafanua hoja kwenye kikao hicho kilichofanyikaa katika Ukumbi wa Spika wa Bunge. Katibu wa Bunge...

 

11 years ago

Michuzi

MH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. samuel Sitta akiongoza kikao cha kamati ya uongozi ikiwa ni pamoja na kupitia ratiba ya Bunge hilo leo. Kushoto ni Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Ndg. Yahya Khamis Hamad. Mwanasheria Mkuu wa serikali Mhe. Fredrick Werema akifafanua jambo wakati wa kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum leo. Kamati hiyo ilikaa kupitia ratiba nzima ya Bunge Maalum na jinsi litakavyoendelea na sura za rasimu ya katiba. Wajumbe wa kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF yaanza kukagua miradi Mkoani Ruvuma

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akitoa ufafanuzi juu ya utekelezaji wa miradi ya TASAF katika halmashauri za wilaya na Manispaa Mkoani Ruvuma kwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF Abbas Kandoro, ambaye ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kukagua miradi iliyotekelezwa na TASAF kwa kushirikiana na wananchi katika Mkoa wa Ruvuma.  Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF Abbas Kandoro akisisitiza jambo kwa viongozi (hawapo pichani) wa...

 

9 years ago

Michuzi

UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA

Kutoka maktaba: Shindano la Miss Tanzania la kwanza mwaka 1967 ambapo mshindi aliibuka Theresa Shayo (No. 5) na ambalo lilikuwa la mwisho baada ya serikali kulipiga marufuku kwa kile kilichoitwa kukiuka maadili ya Mtanzania. Mwaka 2004 Miss Tanzania ikaibuka na mshindi alikuwa Ainda Maeda. Mwaka jana shindano hilo lilifungiwa kwa muda kabla ya Baraza la Sana la Taifa kuruhusu liendelee tena hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani