Kampeni dhidi ya ugonjwa wa usonji yazinduliwa
Na Veronica Rwamwald, Dar es Salaam
KLINIKI ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili, imeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao Watanzania wengi hawaufahamu.
Ugonjwa huu sasa unatishia familia nyingi kwani dalili zake huanza utotoni na zinaweza kuendelea hadi ukubwani.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia watu wenye usonji Tanzania, Dk. Stella Rwezaula,
aliishukuru...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Jun
Kampeni ya ugonjwa wa usonji yazinduliwa
KLINIKI ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) zimeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao watanzania wengi hawaufahamu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vIsRoygPXgA/VWuMQ5bFa_I/AAAAAAABgyc/_7zhr0brRAc/s72-c/A.jpg)
KAMPENI YA UELEWA KUHUSU TATIZO LA USONJI YAZINDULIWA JIJINI DAR
Familia nyingi Tanzania hazina ufahamu wa hali hii
Kliniki ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha uma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao watanzania wengi hawaufahamu.Ugomjwa huu sasa unatishia familia nyingi kwani dalili zake huanza utotoni na zinaweza kuendelea hadi ukubwani.Akizugumza wakati wa uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia...
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kampeni ya kuhamasisha daftari la kura yazinduliwa
KAMPENI maalumu ya kuwahamasisha vijana kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na hatimaye kupiga kura, imezinduliwa jijini Dar es Salaam jana.
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X6QBc_DtFIo/U_c8gU7YPeI/AAAAAAAGBa8/Eomx5aPMUoA/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHq7iCqRF_w/U_c8h4tnlGI/AAAAAAAGBbE/Hk4z1P6NrZs/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zlcMpwazgzU/XmansLasytI/AAAAAAALiVM/wJnlKqZYzHw4bI1ngjt7qZU4HvaqUxS0ACLcBGAsYHQ/s72-c/5d114982-8ab2-470e-88ba-419bff7f2f4a.jpg)
Kampeni ya Bukua na Ushinde’ya kampuni ya ZOLA yazinduliwa Dar Es Salaam
Kampeni ya kampuni ya ZOLA Electric Tanzania, ambayo zamani ilijulikana kama Mpower, inayolenga kuhamasihisha wanafunzi wa sekondari kusoma kwa bidii ijulikanayo kama ‘Bukua na Ushinde’ imezinduliwa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kupitia kampeni hii ambayo pia imelengakusaidia jamii na kuunga mkono jitihada za serikali kuboresha sekta ya elimu, ambapo itazawadia vifaa vya nishati ya umeme wa jua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...