Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni kubwa chukia uchafu yaanza Ilala

WILAYA ya Ilala imeanzisha kampeni ya wiki tatu ya usafi katika maeneo yaliyopo katikati ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kutoa elimu na kuyaweka maeneo hayo safi na salama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’

Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

UONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI

 Mwenyekiti wa Soko la Mchikichini-Ilala Jumanne Kongogo akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari waliofika katika Ofisi za Soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaam leo,  kuhusiana na wafanyabiashara Walemavu kufunga barabara ambayo inaruhusu magari kutoka na kuingia katika soko hilo, magari ambayo yanatoa huduma katika soko hilo.
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema Kawe, Ilala, Ukonga wazindua kampeni

Wabunge wanaowania majimbo ya Kawe, Ukonga na Ilala kwa chama cha Chadema, wamezindua kampeni zao jana, huku wagombea wakijinasibu kwa ahadi mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni ya CHF/ TIKA yaanza

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, umeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA).

 

11 years ago

Tanzania Daima

LSA yaanza kampeni Rollingstone

TIMU za vijana chini ya miaka 15 na 20 za Lindi Soccer Academy (LSA), leo zinatupa karata yao ya kwanza katika michuano ya vijana ya Rollingstone kwa nchi za Afrika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya ushawishi CHF yaanza Singida

SAMSUNG CSC

Timu ya wataalamu kutoka NHIF mkoa wa Singida na ofisi ya DMO wilayani Singida, wakiendesha zoezi la upimaji wa afya kwa wananchi wa kata ya Msange wilayani Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO  wa taifa  wa bima ya afya (NHIF)Mkoa wa Singida, umeanzisha kampeni ya utoaji elimu juu ya umuhimu wa kujiunga  na mfuko huo, na ule wa afya ya jamii (CHF),ili wananchi waweze kujijengea mazingira  ya kupata matibabu hata wakati hana fedha.

Katika kampeni hiyo wananchi watapata nafasi ya...

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU YAANZA KAMPENI YA KUWAFUATILIA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU

Mratibu wa kifua kikuu na ukoma wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt. Mkasange Kihongole katikati akiwa na Mashono Said Amir wa pili kushoto ambaye alipatwa na ugonjwa wa kifua kikuu sugu na kukimbilia shambani ili asifahamike na wataalam wa Afya akiwa na wake zake Lios Bakari kushoto na Sharifa Maneno wa pili kulia mara baada ya kurudi kutoka katika matibabu Hospitali ya Kigong'oto mkoani Kilimanjaro ambapo ndiyo Hospitali inayohudumia wagonjwa wa kifua kikuu sugu,wa kwanza kulia ni...

 

11 years ago

Habarileo

Kampeni ya chanjo ya surua, rubella yaanza kwa kishindo

SERIKALI imesema haitasita kuagiza chanjo zilizopo na zitakazogunduliwa baadaye ili kuwakinga Watanzania na maradhi yanayozuilika kwa chanjo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani