Kampuni 3 zataka jengo la ATCL lipigwe mnada
KAMPUNI tatu zimewasilisha ombi la kupigwa mnada kwa jengo la Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kufidia deni la dola za Marekani 1,182,595 ambazo zinadai shirika hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Sakata la jengo la ATCL kupigwa mnada laibuka tena
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Jengo la Maliasili lanusurika kupigwa mnada
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi imetoa zuio la kutouzwa jengo la Ushirika wa Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii lililopo chini ya mradi wa shamba la miti la Rongai...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...
11 years ago
Michuzipinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Kampuni ya China yakanusha kuhusika na kuanguka kwa jengo
Wananchi wakingalia jengo la gorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013. (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Kampuni ya ujenzi ya CRJE kutoka China imekanusha vikali kuhusika na jengo la ghorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013.
Taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana, inaeleza kuwa kampuni hiyo haikuwahi kushiriki...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA PAN AFRICAN ENERGY YAKABIDHI JENGO LA WAUGUZI KATIKA ZAHANATI YA NANGURUKURU WILAYANI KILWA
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Asasi zataka Bunge livunjwe
IMEELEZWA kuwa hakuna sababu ya kuendelea na Bunge Maalumu la Katiba, kama rasimu ya pili iliyopelekwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba inadhihakiwa na kudharauliwa....
11 years ago
Habarileo17 Feb
Asasi zataka soko la tembo lifungwe
ZAIDI ya asasi 70 zinazojihusisha na mazingira nchini (MANET), zimeiomba serikali kushauri Jumuiya za Kimataifa zifunge soko la meno ya tembo ili majangili wakose soko la bidhaa hiyo na kuachana na ujangili.