KAMPUNI YA MAFUTA YA ENGEN HAPA NCHINI YAPATA MKURUNGENZI MPYA
Mkurungenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania, Mubita Akapelwa akiwashukuru baadhi ya wafanyakazi wa kampuni kwa ushirikiano walio uonesha wakati wa utendaji wake kazi katika hafla ya kumuaga na kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Kampuni hiyo Paul Mhato iliyofanyika katika ukumbi wa Sea criff jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania, Paul Mhato akifurahia jambo katika hafra ya kumkaribisha Mkurugenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s72-c/2.jpg)
KAMPUNI YA MAFUTA YA ENGEN YAANDIMISHA MIAKA 21 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wHBUqOz_Y2k/VGYlVOOHYLI/AAAAAAAGxQk/AbdZCsHmERg/s1600/8.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya Mafuta ya ENGEN Tanzania leo Novemba 14,2014 wameungana na wafanyakazi wenzao Barani Afrika kusherehekea Maadhimisho ya Miaka 21 ya kuanzishwa kwa Kampuni hiyo,ambayo husherehekewa kila Mwaka ifikapo tarehe kama ya leo.Engeni ni Kampuni iliyojikita katika uuzaji wa Mafuta bora ndani na nje ya Tanzania,huku ikiendelea kujivunia kwa Ubora wake.Pichani ni Sehemu ya Wafanyakazi wa Kampuni hiyo ya Engen hapa nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya jengo lao Kurasini...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa
Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA RITHT HERE NCHINI IMEPATA MWEKEZAJI MPYA NA KUPATA UBIA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.
Kampuni ya matangazo ya FLAMETREE iliyojikita Africa mashariki sasa imezinduliwa upya na kupewa jina jipya la RIGHT HERE TANZANIA, mabadiliko haya yametokana na kuingia kwa mwekezaji mpya wa kimataifa ambaye ameonyesha nia ya dhati ya kuwekeza kwenye kampuni hii kufuatia utendaji mzuri aliouona kwenye kampuni hiyo na kuamua kuongeza nguvu zaidi katika kuinua utendaji, uwekezaji huu unatarajiwa kuongeza tija na muamko wa wafanyakazi na wateja wao. Kufuatia mabadiliko haya sasa kampuni ya...
9 years ago
MichuziKAMPUNI YA HUAWEI YASAIDIA KATIKA ELIMU NA TEKNOLOGIA HAPA NCHINI
Dr.Lu Youqing lieleza kuwa sasa hivi China na Tanzania wana ushirikiano mzuri...
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa nchini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alifanya ziara maalum ya kuwakagua baadhi ya wazee katika sehemu mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba ili kujua haliu zao pamoja na kuwapa mkono wa pongezi kwa kukamilisha mwaka 2014 na kuwatakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCCkQ4TDzms/ViDaF4-g9_I/AAAAAAAIAUM/gnjjvvM0Mj4/s640/Pic%2B2.jpg)
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3naJclhFgjA/VP3y8ZcNcjI/AAAAAAAHJNw/aSOUuqbjSZo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Airtel Waendeleza vipaji vya Walemavu hapa nchini, “Tunaweza Band” wawezeshwa kurekodi nyimbo zao mpya.