Kandoro: Viongozi wanakwamisha uhifadhi mazingira
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amesema kampeni ya uhifadhi wa mazingira inakuwa ngumu kufikia malengo kutoka na baadhi ya viongozi waliyopewa dhamana ya kusimamia kuwa vinara wa kuvunja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Bilal asihi uchangiaji uhifadhi mazingira nchini
11 years ago
MichuziWASTAAFU WAHIMIZWA KUUDUMISHA MUUNGANO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika hafla ya kuwaaga wastaafu wapatao 12 wa kada ya maafisa katika ofisi hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Mheshimiwa Samia alisema wastaafu hao...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira
Meneja Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).
Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6fPBNXP2MF8/XlvR6idxkCI/AAAAAAALgOI/DcgzIpFxSGoPd-ObIgau10U_445_QI8LwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-1-768x512.jpg)
WAWEKEZAJI WANAPASWA KUTIMIZA MATAKWA YA SHERIA YA UHIFADHI WA MAZINGIRA-WAZIRI ZUNGU
![](https://1.bp.blogspot.com/-6fPBNXP2MF8/XlvR6idxkCI/AAAAAAALgOI/DcgzIpFxSGoPd-ObIgau10U_445_QI8LwCLcBGAsYHQ/s640/3-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/4-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOoi_UKqEp8/Xto7SMrIQ_I/AAAAAAALssk/N9TTomNCqV4IguNOT9dfFMfqGvg2KsrsgCLcBGAsYHQ/s72-c/SILAYO.jpg)
KAMISHNA WA UHIFADHI WA MISITU TANZANIA PROFESA SILAYO AWAKUMBUSHA WATANZANIA KUTUNZA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOoi_UKqEp8/Xto7SMrIQ_I/AAAAAAALssk/N9TTomNCqV4IguNOT9dfFMfqGvg2KsrsgCLcBGAsYHQ/s400/SILAYO.jpg)
KAMISHNA wa Uhifadhi wa Misitu Tanzania kutoka Wakala wa Huduma za Misitu nchini(TFS) Profesa Dos Santos Silayo amewakumbusha Watanzania wote kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kutunza mazingira ili yaweze kuendelea kutoa huduma zake kama ambavyo tunatarajia ikiwemo ya hewa safi na kuifanya Dunia kusa mahali salama pa kuishi.
Pro.Silayo ameyasema hayo leo wakati akizungumzia Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika kila Juni 5 ya kila mwaka ambapo...
10 years ago
VijimamboMAREKANI YATOA DOLA BILIONI 30 KWA AJILI YA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII
Serikali iya Marekani...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s72-c/1(1).jpg)
NYALANDU AKUTANA VIONGOZI WA UHIFADHI WANYAMAPORI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s1600/1(1).jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya Vulcan ya nchini Marekani Bw. Dave Stewart (kushoto) na Bi. Lauren Ryder, inayojihusisha na masuala ya kuidadi tembo katika nchi 18 barani Afrika ikiwemo Tanzania, baada ya kufanya mazungumzo maalum ya ushirikiano yaliyofanyika katika jiji la New York nchini Marekani jana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NLdcW8kOh8/VYjojL-Jh0I/AAAAAAAHipk/nYxlHS2XEJY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini