Kanisa Katoliki latoa wito Bunge la Katiba
KANISA Katoliki Jimbo la Bunda, mkoani Mara, limetoa wito kwa wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba, kujadiliana vizuri, ili kuweza kupata Katiba nzuri kwa manufaa ya wananchi wote bila kujali maslahi ya mtu wala itikadi ya chama chochote cha siasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Kanisa Katoliki latoa msimamo Katiba Mpya
11 years ago
Habarileo03 Feb
Kanisa Katoliki latoa hofu waumini kuhusu sakramenti
UONGOZI wa Kanisa Katoliki nchini umewatoa hofu waumini wake, kuhusu uwepo wa baadhi ya makanisa yanayodaiwa kuuza sakramenti na kueleza kuwa suala hilo haliwahusu.
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s72-c/1.jpg)
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sZD_07Sg5v0/VTTiuCUA03I/AAAAAAAC3UI/t4dJUbMvvnw/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GyxUwmKhA-Y/VTTi6vqqaXI/AAAAAAAC3U0/Q99oBdlO65s/s1600/9.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s72-c/1.jpg)
KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4X0mft_J_ag/U9JNYj0qzhI/AAAAAAAF6NQ/LMsNuLoUXtg/s1600/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Laiti kanisa lingepeleka wajumbe makini katika Bunge la Katiba...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.
Na Anitha Jonas –Maelezo.
SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Kanisa Katoliki linautazamaje ushoga?
10 years ago
Habarileo02 Nov
Kanisa Katoliki lafunga Parokia 50
KANISA Katoliki duniani limeamua kufunga zaidi ya parokia 50 katika Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la New York nchini Marekani, katika mkakati wa kanisa hilo kujinusuru na madeni ya parokia zisizojiendesha, ambao haujawahi kufanyika katika miaka 164 ya jimbo hilo.