Kanisa Katoliki linajidili upya familia
Papa Francis amewaomba viongozi wa kanisa wawe na moyo wa kupokea mabadiliko katika maisha ya waumini wa kanisa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Kanisa Katoliki laanza kujadili upya familia
VATICAN CITY, VATICAN
KIONGOZI wa Kanisa la Katoliki Duniani, Papa Francis jana aliongoza misa katika makao makuu ya kanisa hilo kuashiria kuanza kwa wiki tatu za Mkutano wa Maaskofu wa Kikatoliki kuhusu mabadiliko ya mifumo ya maisha.
Mkutano huo, unatarajia kufichua tofauti kati ya viongozi dhabiti wa Kikatoliki, wale wanaopendelea utamaduni kwa upande mmoja na wengine wenye misimamo wastani wanaokubali mabadiliko ya sera yanayoendelea kanisani.
Miongoni mwa mabadiliko hayo ni ndoa za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s72-c/1.jpg)
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sZD_07Sg5v0/VTTiuCUA03I/AAAAAAAC3UI/t4dJUbMvvnw/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GyxUwmKhA-Y/VTTi6vqqaXI/AAAAAAAC3U0/Q99oBdlO65s/s1600/9.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
10 years ago
Habarileo02 Nov
Kanisa Katoliki lafunga Parokia 50
KANISA Katoliki duniani limeamua kufunga zaidi ya parokia 50 katika Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki la New York nchini Marekani, katika mkakati wa kanisa hilo kujinusuru na madeni ya parokia zisizojiendesha, ambao haujawahi kufanyika katika miaka 164 ya jimbo hilo.
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Kanisa Katoliki linautazamaje ushoga?
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
UN yalaani sera za kanisa katoliki
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kanisa Katoliki kortini Poland
11 years ago
Habarileo30 Jun
Membe apongeza Kanisa Katoliki
KANISA Katoliki limepongezwa kwa kusaidia nchi kudumisha amani na utulivu kwa njia ya sala na kauli za huruma juu ya uvumilivu wa kidini.
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Kanisa katoliki lamtimua askofu senge