KANISA LA FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP LA SHEREKEA MIAKA 25 JIJINI DAR
Waumini toka Mkoa wa Dodoma awakisherekea kwa kuimba nyimbo katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Waaumini toka sehemu mbalimba ya nchi ya Tanzania wakiwa katika maandamano maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kushoto ni askari polisi akiangalia usalama.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBANKI YA DCB YA SHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA LEO JIJINI DAR
11 years ago
MichuziProf. Gabriel afunga Kambi ya Kimataifa ya Vijana ijulikanayo kama International Youth Fellowship jijini dar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ALC7oxZgT3E/XpnN1UIT3RI/AAAAAAALnQ0/tyIgq8-vQegRNkbV3sjxY-ZC32gTSyOmQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200417-WA0009.jpg)
KANISA LA CHRISTIAN FELLOWSHIP LAKIPATIA KITUO CHA AFYA LULANZI VITI MWENDO 15
![](https://1.bp.blogspot.com/-ALC7oxZgT3E/XpnN1UIT3RI/AAAAAAALnQ0/tyIgq8-vQegRNkbV3sjxY-ZC32gTSyOmQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200417-WA0009.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200417-WA0007.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA
KANISA la Christian Fellowship la Jijini Dar es Salaam limetoa viti mwendo Wheel Chairs 15 ,vyenye thamani ya zaidi ya milioni nne ,kwa ajili ya kituo kinachohudumia wagonjwa wa Covid 19 cha Lulanzi wilayani Kibaha mkoani Pwani.
Akikabidhi viti hivyo kwa mganga mkuu na mganga mkuu wa Halmashauri ya mji Kibaha na Dk Askofu Mgulu Kilimba wa kanisa hilo alisema lengo la kutoa viti hivyo ni kusaidia jitihada za serikali kukabiliana na ugonjwa huo hatari.
“Nimetoa viti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerbtjXPCkKEbla--JwzawrMTchghGbw-PxVoy-gV2jQkyvd3a32Iu0p6JR6C53ApZxdw-4GDf5Qw4Pnz8ftA1Xl/5mby5.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhiwa tuzo na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG), Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya jana Julai 13, 2014.
Rais…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s72-c/mby1.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s1600/mby1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sTCiMKiRHD0/U8LdQIDiPxI/AAAAAAAF16g/ZKITATvAbqU/s1600/mby2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2XQFG5zGjDA/U8LZUMUsFCI/AAAAAAAF150/kFPiSDzx7Ik/s1600/mby3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pCvi2R47bPM/U8Lazas_tII/AAAAAAAF16M/TWEsqn0Yj7w/s1600/mby4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mw9lj_B4tck/U8LbDvZaHKI/AAAAAAAF16U/VNhOaJTZD-Y/s1600/mby5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIGvBsY57V8x4YUswL8uPo1Oxi0PcmriqipeRlV983I1PEBINdDPCPvpTCgTkZzlnGZAMRDGao4qEvYXYvObsPf/sinema.jpg)
VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA
Stori: Haruni Sanchawa
ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s72-c/Bernard-Membe.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA BERNARD MEMBE KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KANISA ANGLIKANA, DAYOSISI YA DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5UghBPVk7Jk/VKl06cG6-1I/AAAAAAAG7Pk/xy171pLLWJU/s1600/Bernard-Membe.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4f_wVpaWQig/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Uyj-XxFbXBo/Uw35Cp6GeFI/AAAAAAAFPtY/Qn-XtRzGgNI/s1600/28.jpg)
MWILI WA BALOZI FULGENCE KAZAURA ULIVYOAGWA KATIKA KANISA LA MT. PETER JIJINI DAR
Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence Kazaura likiwa ndani ya Kanisa la Mt. Peter,Osterbay jijini Dar es Salaam tayari kwa Ibada maalum ya kumuombea Marehemu huyo iliyofanyika mchana wa leo kanisani hapo. Viongozi wa Kanisa hilo la Mt. Peter wakiwaongoza waomboleazaji kuaga Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania