Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANISA LA FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP LA SHEREKEA MIAKA 25 JIJINI DAR

Waumini toka  Mkoa wa Dodoma awakisherekea kwa kuimba nyimbo katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Waaumini toka sehemu mbalimba ya nchi ya Tanzania wakiwa katika maandamano maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kushoto ni askari polisi akiangalia usalama.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BANKI YA DCB YA SHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA LEO JIJINI DAR

Meneja Mwandamizi wa  Biashara Ndogo na Kubwa  wa Benki ya DCB, Haika Machaku akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kuwapatia shuhulisho la masuala ya kifedha wateja na kuongeza kasi ya ukuaji wa biashara zao  ameyasema hayo leo katika hafla ya kusherekea wiki ya huduma  kwa wateja iliyofanyika makao makuu jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja Mwandamizi wa Technolojia ya Habari na mawasiliano Mohamed Mtulia.Meneja Masoko wa Benki ya DCB,Boyd Mwaisame akisisitiza jambo...

 

11 years ago

Michuzi

Prof. Gabriel afunga Kambi ya Kimataifa ya Vijana ijulikanayo kama International Youth Fellowship jijini dar

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa hotuba wakati wa kufunga Kambi ya Kimataifa ya Vijana International Youth Fellowship (IYF) katika Ukumbi wa Milimani City leo Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kama waziri mwenye dhamana ya kusimamia masuala ya Vijana kutoka kwa...

 

5 years ago

Michuzi

KANISA LA CHRISTIAN FELLOWSHIP LAKIPATIA KITUO CHA AFYA LULANZI VITI MWENDO 15







NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA 
KANISA la Christian Fellowship la Jijini Dar es Salaam limetoa viti mwendo Wheel Chairs 15 ,vyenye thamani ya zaidi ya milioni nne ,kwa ajili ya kituo kinachohudumia wagonjwa wa Covid 19 cha Lulanzi wilayani Kibaha mkoani Pwani. 
Akikabidhi viti hivyo kwa mganga mkuu na mganga mkuu wa Halmashauri ya mji Kibaha na Dk Askofu Mgulu Kilimba wa kanisa hilo alisema lengo la kutoa viti hivyo ni kusaidia jitihada za serikali kukabiliana na ugonjwa huo hatari.
“Nimetoa viti...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhiwa tuzo na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG), Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya jana Julai 13, 2014.
Rais…

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE MGENI RASMI SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelfu ya wananchi kwenye  kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa la Tanzania Assemblies of God  katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya leo Julai 13, 2014.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha  Tanzania Assemblies of God (TAG) akiwa na  Askofu Mkuu wa TAG Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya leo Julai 13, 2014 Rais Jakaya...

 

11 years ago

GPL

VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA

Stori: Haruni Sanchawa
ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...

 

10 years ago

Michuzi

HOTUBA YA MHESHIMIWA BERNARD MEMBE KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KANISA ANGLIKANA, DAYOSISI YA DAR ES SALAAM LEO

 MHESHIMIWA BERNARD MEMBE, WAZIRI WAMAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA 

 

11 years ago

GPL

MWILI WA BALOZI FULGENCE KAZAURA ULIVYOAGWA KATIKA KANISA LA MT. PETER JIJINI DAR

Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence Kazaura likiwa ndani ya Kanisa la Mt. Peter,Osterbay jijini Dar es Salaam tayari kwa Ibada maalum ya kumuombea Marehemu huyo iliyofanyika mchana wa leo kanisani hapo. Viongozi wa Kanisa hilo la Mt. Peter wakiwaongoza waomboleazaji kuaga Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani