Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashfa ya Ruvu Shooting yazua jambo

Kamanda wa Polisi (RPC) mkoa wa Shinyanga, Yustus Kamugisha amepinga madai ya Ruvu Shooting ya kuripoti kwao tukio la kupuliziwa dawa katika vyumba vya kubadilishia nguo siku ya mchezo wao dhidi ya Stand United kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA VS RUVU SHOOTING LINE UP

YANGA LINE-UP
1. Deogratias Munish -30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Koshua - 4
4. Nadir Haroub - 23
5. Kelvin Yondani - 5
6. Frank Domayo - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Mrisho Ngasa - 17
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Emmanuel Okwi - 25
11. Hamis Kizza - 20

Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Rajab Zahir - 14
5. Athuman Idd - 24
6. Hassan Dilunga - 26
7. Said Bahanuzi - 11
RUVU...

 

11 years ago

Tanzania Daima

7-0 zawakalisha chini Ruvu Shooting

BAADA ya kupigwa kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-0 na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi, uongozi wa Ruvu Shooting unatarajiwa kuketi kutafakari na kusaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Ruvu Shooting watambiana

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi  taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAWAKALISHA MAAFANDE WA RUVU SHOOTING

Wachezaji wa Simba SC, wakishangilia bao kwenye mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar jana. Simba walishinda 3-2.
Mashabiki wa Simba, wakishangilia ushindi wao wa bao 3-2.
SIMBA SC jana iliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 3-2 dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Azam kuvaana na Ruvu Shooting leo

1NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC, leo wanatarajia kufunga ratiba zao za mechi za kirafiki kwa kujipima tena na wanajeshi timu ya Ruvu Shooting, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.

Hivi karibuni Azam ilipokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kuvurugiwa rekodi ya kutokufungwa bao hata moja ndani ya dakika 90 katika michuani ya Kagame.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Jaffari Idd, alisema mchezo huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yazindukia kwa Ruvu Shooting

TIMU ya Simba, jana ilivuna pointi tatu muhimu katika mbio za Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuwafunga Ruvu Shooting ya Pwani mabao 3-2 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Taifa,...

 

10 years ago

GPL

MNYAMA AISAMBARATISHA RUVU SHOOTING TAIFA

Wachezaji wa Simba SC wakishangilia lao la kwanza lililofungwa na Ibrahim Ajibu kwa mkwaju wa penalti. Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (25) akiipangua ngome ya Ruvu Shooting. Kocha Mkuu wa Simba SC, Goran Kopunovic akishangilia ushindi na wachezaji wake. WEKUNDU wa Msimbazi 'Mnyama' au Simba SC leo…

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting

>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya   Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

MECHI YA JKT RUVU, SHOOTING KUCHEZWA USIKU

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya JKT Ruvu na Ruvu Shooting itachezwa kesho (Desemba 27 mwaka huu) usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex ulioko Chamazi, Dar es Salaam.
Timu hizo zitapambana kuanzia saa 1 kamili usiku katika mechi hiyo itakayoonyeshwa moja kwa moja (live) na Azam Tv.
Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 3,000 kwa jukwaa la kawaida na sh. 5,000 kwa upande wa jukwaa la VIP.
Tiketi za kushuhudia mechi hiyo ambazo ni za elektoniki tayari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani