Katiba Inayopendekezwa ni faraja kwa walarushwa na mafisadi
Jana tulichapisha habari kuhusu Tanzania kushuka katika orodha ya nchi zinazofanya jitihada za kupambana na rushwa, baada ya taasisi inayochunguza masuala hayo, Transparency International (TI) kueleza kwamba imeshuka kwa nafasi nane kutoka ya 111 mwaka jana hadi ya 119 mwaka huu kati ya nchi 175 zilizolengwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
10 years ago
GPLRADIO ZA JAMII ZASHUKURU KWA KUPOKEA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUT
10 years ago
MichuziRADIO ZA JAMII ZASHUKURU KWA KUPOKEA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI
Wakizungumza na Focus Media ambao ndio waandaaji na wasambazaji wamekiri kwamba wamepokea kwa wakati muafaka, kwani hawakuwa na chanzo sahihi cha kupata maudhui yanayohusu elimu ya uraia na uchaguzi mkuu na kura ya maoni.
Baadhi ya wasimamizi...
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Redio za jamii zashukuru kwa kupokea Katiba Inayopendekezwa kwa njia ya sauti
Wasimamizi wa redio za jamii wakisikiliza kwa makini wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Mtandao wa redio za Jamii, Joseph Sekiku akiongea machache kabla ya kuwagawia wasimamizi wa redio za jamii wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo12 Feb
Katiba Inayopendekezwa yasambazwa kwa wingi nchini
SERIKALI imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.
10 years ago
Habarileo09 Nov
Katiba Inayopendekezwa inasubiriwa kwa hamu -Pinda
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Katiba Inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba ni bora na inasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ili waipigie kura.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Sababu za kusema hapana kwa Katiba Inayopendekezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG8IiU4ts1rWhIDZYu0Au3gjNNON9xKODLtR*bmajGGeAcZnFCWSnCHSSUtY7DBVrznL1VExTdwKJZfyJ66-FerU/unnamed28.jpg?width=650)
MKOA WA DODOMA UMEPOKEA NAKALA 61,290 ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA AJILI YA KUZIGAWA KWA WANANCHI