KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.
Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social origin, gender, language,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi16 Sep
TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2LPWpF7QgcJZnLKyEA97Do6Com592Nw3k0spqAaSK2k5mjERWJemeBo9jesgce7N6CN8PDc=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/agm.png)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-R6K-bsz-QWo/XqplU5bEuOI/AAAAAAAA_sw/-h_0smDcurIGHeq0O8wn-Po-3bTRTcnPACNcBGAsYHQ/s72-c/zff.jpg)
KANUNI LIGI KUU Z'BAR KUBORESHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R6K-bsz-QWo/XqplU5bEuOI/AAAAAAAA_sw/-h_0smDcurIGHeq0O8wn-Po-3bTRTcnPACNcBGAsYHQ/s400/zff.jpg)
Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Mashindano wa ZFF, Ali Mohammed Ameir, alisema katika mchakato huo wameanza na zoezi la kupokea maoni kutoka kwa wadau wa soka wa visiwani hapa ili kupatikana kwa kanuni mpya za mashindano.
Ameir alisema kila mtu anayo fursa ya kutoa maoni juu ya kanuni ya kuendesha mashindano kwa msimu wa mwaka...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
9 years ago
StarTV15 Nov
Ligi daraja la pili Wachezaji watakiwa kuzingatia nidhamu, shria na kanuni.
Wakati kipenga cha michuano ya ligi soka daraja la pili kikipangwa kuanza Jumapili hii katika viwanja mbalimbali nchini wachezaji wametakiwa kuzingatia nidhamu, sheria kanuni na taratibu zinazoongoza mpira wa miguu
Michuano hiyo inazishirikisha timu 24 na timu ya Alliance Sports Academy imepangwa kundi B pamoja na Bulyanhulu ya Shinyanga JKT Rwamkoma ya Mara AFC na Madini Fc zote za Arusha na Pamba Fc ya mwanza
Star Tv imefika katika viwanja vya timu ya Alliance Sports Academy ili...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Bunge Maalumu la Katiba limekosa kanuni
HIVI Watanzania tunapata muda wa kujihoji ni sababu gani zimetufanya tufike hapa tulipo? Ni kwanini wananchi wengi walidai au kuhitaji Katiba mpya ya Tanzania kwa kipindi chote hiki? Tunajiuliza ni...
11 years ago
Mwananchi04 May
Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni