Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Muhtasi anapokuwa mbabe kuliko bosi!

KATIBU muhtasi (sekretari) ni kiungo muhimu kiutendaji maofisini. Ni mtu anayefanya kazi kwa kumuunganisha bosi wake na watu wengine wa ndani na nje ya ofisi. Kama zilivyo kazi nyingine kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

11 years ago

Habarileo

Dk Nagu ashauri shahada ya Ukatibu Muhtasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu amekitaka Chuo cha Utumishi wa Umma kuanza kutoa shahada ya ukatibu muhtasi ili wawe bora zaidi kwenye utekelezaji wa majukumu yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Moline Odwar: Anapokuwa kwenye hedhi wakati mwengine hata huzirai

Leo ni siku ya hedhi duniani. Fuatilia simulizi ya Moline Odwar ambaye hedhi kwake imegeuka na kuwaugonjwa usiokuwa na tiba.

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni

India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la

 

11 years ago

Michuzi

MABADILIKO YA TAREHE YA KONGAMANO LA NNE LA KITAIFA LA MAKATIBU MUHTASI

MWENYEKITI PAMOJA NA KAMATI YA MAANDALIZI YA CHAMA CHA  MAKATIBU MUHTASI TANZANIA  (TAPSEA) – TUNAPENDA KUWAJULISHA WANACHAMA NA WADAU WOTE KUWA  KUTOKANA NA SABABU AMBAZO ZIKO JUU YA UWEZO WETU TAREHE YA KONGAMANO IMEBADILIKA.  
KONGAMANO HILO SASA LITAFANYIKA TAREHE 10 – 12  JULY,  2014 KATIKA UFUKWE WA MALAIKA –  JIJINI MWANZA.
GHARAMA ZA USHIRIKI NI SHILINGI 300,000/=(LAKI TATU TU) KWA MWANACHAMA NA SHILINGI 350,000/= (LAKI TATU NA NUSU) KWA ASIYE MWANACHAMA.  LIPA KUPITIA AKAUNTI...

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA NNE LA MAKATIBU MUHTASI TANZANIA (TAPSEA) LAFUNGULIWA LEO JIJINI MWANZA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji na Uwezeshaji ambaye pia ni Mlezi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),Mh. Dk. Mary Nagu akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kongamano la nne la Makatibu Muhtasi Tanzania,leo Julai 11,2013 jijini Mwanza.Mh. Nagu katika hotuba yake,amesema atawasimamia Makatibu hao na kuhakikisha wanaanzisha Benki yao ambayo itawawezesha kuweka abiba zao na kukopeshana pia.
Mgeni Rasmi katika Kongamano la Makatibu Muhtasi Tanzania na Mshauri wa Mambo ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mary Nagu mgeni rasmi Kongamano la nne la Kitaifa la Makatibu Muhtasi Tanzania leo jijini Mwanza

1

 Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu ambaye ndiye mgeni rasmi wa Kongamano la nne laKitaifa la Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Kisheria wa TAPSEA wakati alipokuwa akiwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza.

2

Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu...

 

11 years ago

Michuzi

Mary Nagu Mgeni rasmi kongamano la nne la kitaifa la makatibu muhtasi tanzania jijini mwanza leo

 Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu ambaye ndiye mgeni rasmi wa Kongamano la nne laKitaifa la Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Kisheria wa TAPSEA wakati alipokuwa akiwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza.Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani