Katika Swahili Hip Hop na Bongo Flava hii leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6gCNoOipmk/VhkOZRh3RkI/AAAAAAAAJys/wN71xGy5WD4/s72-c/image56.png)
Jina lake ni Paul Mbenna. Wengi katika ulimwengu wa Bongo Flava wanamfahamu kama Mr Paul.
Alitamba na nyimbo nyingi kama Nakuzimia, Zuwena, Kuoana, na hata zile alizojazia kiitikio kama Kighetogheto na nyinginezo
Kwa sasa anaishi na kufanya kazi nchini Australia.
Panapo majaaliwa tutaungana naye kwenye kipindi cha SWAHILI HIP HOP NA BONGO FLAVA saa nne kamili kwa saa za Marekani Mashariki (10:00ET)
Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Bongo511 Aug
Fid Q na P-Funk kuachia ‘Bongo Hip Hop’ Jumatano, August 13
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
KIPINDI KIPYA CHA RADIO CHA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bvbApY9JZfo/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM19 Nov
BANANA ZORO: YUPO KATIKA MAFUNZO YA KUFANYA MUZIKI WA HIP HOP
Msanii wa Bongo Fleva,Banana zoro baada ya kufanya miziki ya aina nyingi kuanzia Rnb, Zouk, Afro Pop, Rock na mengineyo kwa zaidi ya miaka 10 aliyotumikia kwenye muziki wa Bongo flava, sasa hivi ameingia darasani kufundishwa jinsi ya kurap na kufanya muziki wa Hiphop, na mwalimu wake ni Mwana fa.
‘’Nimefanya miziki ya aina nyingi kwenye Bongo Fleva,na sasa nimeingia darasani kufanya hip hop na mwalimu wangu Mwana FA kwahiyo mashabiki wangu wasubirie tu,’’alisema Banana...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZLtuxYaKko0/default.jpg)