Kavumbagu kauzwa na AzamFC? waziri Muhongo na umeme TZ je? majibu ninayo hapa
Serikali ya Tanzania imesema inatarajia kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme pamoja na kupunguza gharama za upatikanaji wa nishati hii, ni ahadi ambayo imetolewa na Waziri wa Nishati Prof. Sospeter Muhongo alipofanya ziara kwenye kituo cha kuzalishia umeme cha Mtera mpakani mwa Dodoma na Iringa. Baada ya kuona kina cha maji kimepungua Mtera na uzalishaji umesimama […]
The post Kavumbagu kauzwa na AzamFC? waziri Muhongo na umeme TZ je? majibu ninayo hapa appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Video yenye magoli yote manne ya Yanga vs Stand United ninayo hapa
Kama ulikua busy na weekend iliyopita moja ya mechi zilizokupita ni pamoja na ya Yanga vs Stand United, nimekurekodia magoli yote kwenye hii video hapa chini utayaona…. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa […]
The post Video yenye magoli yote manne ya Yanga vs Stand United ninayo hapa appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Habarileo23 Jul
Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Muhongo: Tatizo la umeme ni uchakavu wa mitambo
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
9 years ago
Mtanzania21 Dec
TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo
NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.
Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.
“TANESCO wamekuwa...
10 years ago
Habarileo30 Dec
Miradi ya umeme ikamilike haraka - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wakandarasi wanaojenga miradi ya umeme, kuikamilisha haraka kabla ya Aprili 2015.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Muhongo aagiza umeme bure Tarime