Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazi ni kukomboa au kukomoa tu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Operesheni kali kukomboa Sirte Libya

Wizara ya ulinzi mjini Tripoli,imesema imeanzisha operesheni kali kuikomboa mji wa sirte kutoka kwa wanamgambo

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afghanistan wajaribu kukomboa Kunduz

Wanajeshi nchini Afghanistan wanajizatiti kujaribu kuukomboa mji wa Kunduz, uliotekwa na wapiganaji wa Taliban.

 

10 years ago

GPL

PSPF NA MAX MALIPO WAUNGANA KUKOMBOA WAJASIRIAMALI

Mjomba Band ikitoa burudani wakati mambo yakiwekwa sawa katika hafla hiyo.
Kiongozi wa Mjomba Band, Mrisho Mpoto, akinogesha mambo kwa waliohudhuria.
Mkurugenzi wa Mfuko wa PSPF, Adam Maingu, akifungua mkutano huo kwa risala fupi.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakurdi wajaribu kukomboa mji kutoka kwa IS

Wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mwa Iraq wameanzisha operesheni ya kuukomboa mji wa Sinjar, ulioko karibu na mpaka wa nchi hiyo na Syrian kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI: MFUKO WA KUKOPESHA WAWEKEZAJI KUKOMBOA WENGI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akizungumza wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akiteta jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

 

11 years ago

GPL

TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI

 Mkurugenzi wa Mipango Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Jaffar Machano akifungua mkutano huo wa hafla ya utiaji saini mkataba wa makubaliano.  Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Peter Noni akizungumza na wadau wakati wa hafla hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao











KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani