Kerr: Mleteni tu Kopunovic sina hofu
Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr.
Said Ally na Omary Mdose
KOCHA mkuu wa Simba, Dylan Kerr, licha ya kuwepo kwa taarifa kuwa anaweza kutimuliwa ndani ya kikosi hicho na nafasi yake kupewa kocha wa zamani wa timu hiyo, Mserbia, Goran Kopunovic, ameibuka na kusema suala hilo wala halimtishi hata kidogo.
Mserbia, Goran Kopunovic
Hivi karibuni kuliibuka taarifa za ndani ya Simba zikisema uongozi umempa Muingereza huyo michezo ya mzunguko wa kwanza iliyobakia kuhakikisha anapata matokeo mazuri la...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Takwimu Simba zambeba Kerr siyo Kopunovic
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Kopunovic: Sina kikosi cha kwanza Simba
10 years ago
GPL
LOWASSA: SINA HOFU KUKATWA JINA CCM
10 years ago
TheCitizen15 Jan
Kopunovic shifts focus on league
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Kocha Kopunovic tena Simba
Mserbia, Goran Kopunovic.
Hans Mloli,
Dar es Salaam
UNAWEZA kuona kama ni utani lakini ndiyo hali halisi ilivyo, Klabu ya Simba imeamua kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wao, Mserbia, Goran Kopunovic.
Ishu ya kuanza mazungumzo na kocha huyo iliibuka wakati wa mchakato wa awali ulipoanza wa kumtafuta kocha msaidizi wa timu hiyo ambaye mpaka sasa bado hajapatikana baada ya kocha mkuu wa wekundu hao, Dylan Kerr kuchomoa ujio wa Mganda, Moses Basena.
Habari ikufikie kuwa Kopunovic...
10 years ago
GPL
Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC
10 years ago
Vijimambo20 May
Kopunovic alegeza masharti Simba.

Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...
10 years ago
GPL
Kopunovic aondoa watatu Simba