Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Keshi arejea licha ya kulazwa na Uganda

Stephen Keshi atarejea kama mkufunzi wa Super Eagles ya Nigeria shirikisho la soka la NFF limetangaza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Haki ya matibabu Uganda Licha ya sheria

Waziri wa afya nchini Uganda amesema watu wa jinsia moja hawatabaguliwa wanapohitaji matibabu licha ya mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jenerali David Ssejusa arejea Uganda

Aliyekua mkuu wa vikosi vya ujasusi nchini Uganda Jenerali David Ssejjusa amerejea nyumbani kutoka uhamishoni Uingereza

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akanusha kulazwa

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amekanusha madai ya kuugua na kulazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), Katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walalamika kulazimishwa kulazwa Amana

Licha ya Serikali kutangaza kuwa matibabu ya homa ya dengue ni bure, inadaiwa kuwa baadhi ya watoa huduma katika Hospitali ya Amana wamekuwa wakiwatoza wagonjwa Sh30,000 huku wengine wakitakiwa kulazwa kabla ya kupimwa na baadhi wakiambiwa vifaa vimekwisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyepigwa na babake na kulazwa afariki dunia

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja (jina tunalo) mkaazi wa Junguni Gando aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wete akipatiwa matibabu baada ya kupigwa na baba yake mzazi kutokana na utofauti wa sura zao, amefariki dunia siku ya Jumatano alfajiri saa10.30 .

 

10 years ago

Vijimambo

Mchungaji Gwajima Avamiwa.....Apigwa Panga Kichwani na Kulazwa ICU


MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima jijini Mwanza, Samson Gwajima na Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Amin Neigwa, wamevamiwa na majambazi ambao wamewajeruhi vibaya kwa kuwakata mapanga vichwani.Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Mtaa wa Lyila, Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza.Akizungumza kwa taabu na mwandishi wetu akiwa wodini kwenye Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), alikolazwa kwa matibabu, Neigwa, alisema akiwa...

 

10 years ago

Bongo5

Drake adaiwa kulazwa hospitali baada ya kupewa kichapo na P.Diddy

Baada ya kuhusishwa kwenye drama ya Chris Brown na Karrueche Tran weekend iliyopita, sasa inadaiwa kuwa rapper wa Canada, Drake amelazwa hospitali baada ya kujihusisha kwenye ugomvi na P.Diddy. Kwa mujibu wa TMZ, Diddy alimfunza adabu Drake nje ya club ya Miami Jumatatu asubuhi ambapo wote walikuwa wamehudhuria birthday ya Dj Khalid. Mwanzo ilisemekana kuwa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Hizi Za Wastara Za Kulazwa Hospitali Zawaacha Mashabiki Njia Panda

Picha hizi za muigizaji, Wastara Juma,akiwa hospitali amelazwa baada ya kufanyiwa vipimo zimewaacha mashabiki katika njia panda, wengine wakiamini anaumwa na kuanza kuampa pole huku wengine wakiamini yupo kazini yaani anatengeneza filamu.

Picha hizi aliziweka Wastara mwenyewe mtandaoni bila ya kuandika chochote, na hadi sasa ajajibu hata comment moja kutoka kwa followers wake ambao wanataka athibitisha kama kweli ni mgojwa.

Bongomovies.com haikufanikiwa kumpata Wastara kwa njia ya simu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga

SAM_0331

Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0330

SAM_0329

Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.

Na Jumbe Ismailly, Igunga                                        

KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani