Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibadeni aweka ngao JKT Ruvu

KOCHA Abdallah Kibadeni, amesema amekubali kuchukua mikoba ya Fred Minziro ya kuifundisha JKT Ruvu, lakini akaomba uongozi wa timu hiyo uwe na subira ili aweze kubadili mfumo na ipate matokeo mazuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kibadeni agomea mkataba JKT Ruvu

kibadeniNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KOCHA wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni, amesema hafikirii kuingia mkataba na klabu hiyo kabla ya kuwaandaa wachezaji na kupata kikosi bora cha kwanza kitakacholeta ushindani katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kibadeni ambaye amewahi kuifundisha Simba na mshauri wa benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa sasa, aliitwa kuinusuru timu hiyo na matokeo mabaya baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa kocha mkuu, Felix...

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni ahaha kuiokoa JKT Ruvu

KOCHA Mkuu wa JKT Ruvu, Abdallah Kibaden amesema timu hiyo haitashuka daraja msimu huu na hivi karibuni itaanza kupata ushindi baada ya kupata kikosi kazi cha wachezaji 15.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni apania kuitoa JKT Ruvu mkiani

KOCHA mpya wa timu ya soka ya JKT Ruvu, Abdallah `King Mputa’ Kibadeni ameanza kutamba kwa kusema tayari ameanza kuona mwanga wa mafanikio na siku chache zijazo anaamini ataanza kuonja ladha ya ushindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI: EAMCEF, JKT Ruvu wadhamiria kutunza Mto Ruvu

MAZINGIRA ni suala mtambuka, kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa kuwajibika kuhakikisha dunia inakua mahali salama pa kuishi. Uwajibikaji wetu licha ya kutunza mazingira, naamini utaongeza pia siku za kuishi...

 

11 years ago

Mwananchi

JKT Ruvu yamsajili Morris

JKT Ruvu imemsajili mdogo wa beki wa Azam, Ambrose Morris ili kukiongezea nguvu kikosi hicho kwenye Ligi Kuu Bara msimu ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

Ligi ya JKT Ruvu, Coastal

Ni Ligi Kuu bila Yanga, Simba na Azam, klabu tatu zenye wachezaji wao wengi katika timu ya Taifa , ‘Taifa Stars’.

 

9 years ago

Mwananchi

Anuia kuirekebisha JKT Ruvu

Kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni ‘King’ amesema usajili mbovu uliofanywa na klabu hiyo ndiyo unaowamaliza kwenye Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Habarileo

JKT Ruvu watanua vifua

KOCHA Msaidizi wa JKT Ruvu, Mrage Kabange, amesema ushindi wa mabao 2-0, walioupata kwa African Sports Jumapili iliyopita umewarudisha kwenye mapambano ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani