Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigogo Rita atumia mgongo wa Chenge kukwepa Escrow

FREDY AZZAH NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
OFISA Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufilisi na Udhamini (Rita), Philip Saliboko, anayetuhumiwa kupata mgawo wa Sh milioni 40 za Akaunti ya Tegeta Escrow, ametumia mbinu zilizotumiwa na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kukwepa kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Chenge kukataa kuhojiwa na Baraza hilo Februari 25, mwaka huu, akisema kuna zuio la Mahakama Kuu linalokataza suala hilo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kigogo mwingine ajikanyaga Escrow.

Mkurugenzi Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Dk. James Benedict Diu (pichani), amekiri kupokea mgawo wa zaidi ya Sh. milioni 80.8 kutoka kwa mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira, huku akitoa maelezo yanayokinzana kuhusu sababu za kupewa fedha hizo pamoja na matumizi yake.

Fedha hizo, ambazo anadaiwa kuingiziwa na Rugemalira katika akaunti yake iliyofunguliwa katika Benki ya Biashara ya Mkombozi tawi la St. Joseph, jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge agonga mwamba escrow

Dar es Salaam. Juhudi za mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (pichani) kutumia mkondo wa sheria kulizuia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma lisimuhoji kuhusu kuhusika kwake kwenye sakata la escrow, zimegonga mwamba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua kupinga hatua hiyo.

 

10 years ago

Daily News

RITA chief faults court's jurisdiction in Escrow case


RITA chief faults court's jurisdiction in Escrow case
Daily News
THE defence counsel in a bribery case against Registration, Insolvency and Trusteeship Agency (RITA) Chief Executive Officer, Phillip Saliboko, has filed a notice challenging jurisdiction of the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam to determine ...

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo TCAA aingia mtandao wa Escrow

Pg 4Na Aziza Masoud,Dar es Salaam
BARAZA ya Maadili jana lilimuhoji Mkurugenzi Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk. James Diu, kwa tuhuma za kuomba, kudai fadhila za uchumi.
Kigogo huyo anadaiwa kupokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira .
Mahojiano hayo ni muendelezo wa utetezi wa watumishi na viongozi wa umma wanaodaiwa kupata mgao kutoka katika kampuni hiyo kupitia akaunti ya Tegeta Escrow.
Dk. Diu...

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo Escrow kuwasilisha pingamizi mahakamani

salibokoNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imekwama kumsomea maelezo ya awali Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA), Philip Saliboko kwa sababu inadai kuna ukiukwaji wa kikatiba.

Wakili wa Takukuru, Leonard Swai alitakiwa kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba.

Swai, alidai walikuwa tayari kumsomea mshtakiwa...

 

10 years ago

GPL

CHENGE AZIDI KUHOJIWA SAKATA LA ESCROW!

Andrew Change(kushoto) akipangua hoja za mwanasheria wa serikali aliye mbele ya mwenyekiti wa tume ya maadili. Mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma, Jaji mstaafu , Hamis Msumi(katikati) pembeni yake ni viongozi wengine wa baraza hilo.…

 

10 years ago

Mtanzania

Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi

PIX 3.

 

Na Fredy Azzah, Dar Es Salaam
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala...

 

10 years ago

Mtanzania

Chenge akataa jumla kuhojiwa Escrow

chengeNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutoa zuio la kudumu kwa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Baraza la Maadili ya Viongozi kuendelea kushughulikia lalamiko lolote la kimaadili dhidi yake linalotokana na ripoti ya CAG na PAC.
Malalamiko yaliyowasilishwa katika baraza hilo ni tuhuma za kupokea fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Chenge kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani