Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIGOGO SACCOS ANASWA NA MTEJA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KUNA madai kwamba, kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali amenaswa gesti akiwa na mke wa mtu bila kujulikana waliingia kufanya nini, Amani linakupa picha nzima. Kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali  akiwa na mke wa mtu gesti. Tukio hilo la aina yake lilijiri kwenye gesti moja (jina...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIGOGO MPYA WA WOLPER ANASWA

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiwa na Jimmy Mgaya anayedaiwa kuwa ni bwanake.
Mwandishi wetu
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Anaswa na Kigogo Mpya!

Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la risasi la leo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye aliyempangia Wolper nyumba ya kifahari iliyopo ushuani...

 

5 years ago

Michuzi

KIGOGO BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA AMBAYE NI RAIA WA NIGERIA ANASWA JIJINI DAR, WAMO PIA WATANZANIA WAWILI...



Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya wakiwa chini ya ulinzi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kuwanasa jijini Dar es Salaam.Tanki la maji machafu ambalo lilitengenezwa na watuhumiwa hao wa biashara ya dawa za kulevya kwa ajili ya kuwekea dawa hizo kama sehemu ya kuzificha.Hata hivyo tanki hilo walichelewa kulikamisha na hivyo dawa hizo kuzihifadhi ndani ya nyumba.
 
Na Ripota Wetu,Michuzi TV

MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Mteja hujenga, huua biashara

MAADILI mema ya biashara ni kanuni za kinidhamu ambazo hutumika ili kuwa na biashara endelevu. Watu wengi wamekuwa wakifanya biashara kiujanja ujanja kwa kutumia uongo mwingi kwa wateja, jambo linaloyumbisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yasiyofaa kumfanyia mteja

Wateja ni nguzo kuu ya ujasiriamali kwani bila wateja hakuna biashara. Mteja anahitaji huduma nzuri ili afurahie fedha yake. Mteja apatapo huduma nzuri atarudi tena na tena.

 

11 years ago

BBCSwahili

India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria

Serikali ya Nigeria inasema kuwa India imekuwa nchi inayonunua mafuta ghafi kwa wingi kutoka kwake kuliko Marekani

 

10 years ago

Vijimambo

MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia

Ndugu na majirani pamoja na watu waliohudhuria mazishi wakiwa katika Ibada kabla ya kwenda makaburini , Malamba mawili jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya mazishi.
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Umuhimu wa huduma kwa mteja

Biashara inahitaji watu waliokusudia kutoa huduma nzuri kwa wateja. Hii ni kutokana na ukweli kuwa wateja ndiyo nguzo kuu ya biashara ambazo mtu anafanya. Ndiyo maana tuna msemo maarufu wa Kiswahili usemao, “Mteja ni mfalme”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani