Mteja hujenga, huua biashara
MAADILI mema ya biashara ni kanuni za kinidhamu ambazo hutumika ili kuwa na biashara endelevu. Watu wengi wamekuwa wakifanya biashara kiujanja ujanja kwa kutumia uongo mwingi kwa wateja, jambo linaloyumbisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cyQK6nxXYuc/Vi9DRouBgVI/AAAAAAAEDGU/Na8KwXhbYWk/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
MICHEZO HUJENGA AMANI, UPENDO NA MSHIKANAMO-TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cyQK6nxXYuc/Vi9DRouBgVI/AAAAAAAEDGU/Na8KwXhbYWk/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Bw. Noel Kaganda, Afisa wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza kwa niaba ya Tanzania wakati wa upitishaji wa Azimio kuhusu nafasi ya michezo katika ujenzi wa ulimwengu ulio bora na wenye amani. Azimio hilo limepitishwa siku ya Jumatatu na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kabla ya kupitishwa wa Azimio, Wajumbe wa Baraza Kuu walifanya mkutano mfupi wa kumuenzi na kumkumbuka, Bw. Ali Treki mwanadiplomasia wa Libya na aliyewahi kuwa Rais wa Baraza Kuu...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Utafiti: Tumbaku huua watu 500 kwa siku
WATU takribani 500 hufariki duniani kwa siku kutokana na matumizi ya tumbaku. Hayo yalibainishwa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya ulimwenguni(WHO) Dk. Rufaro Chatora, katika mkutano uliowakutanisha wadau mbalimbali...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Malaria huua mtoto kila baada ya sekunde 60 barani Afrika
wakati ikiwa imebaki miaka mitatu kabla ya kumalizika kwa kipindi cha kwanza cha Malengo ya Milenia (MDG) kumalizika, ugonjwa wa malaria hauonekani kukubali kudhibitiwa pamoja na jitihada mbalimbali zinazofanywa kuupunguza kama si kuuondoa kabisa.
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Ajira na mazingira yasiyo na dawa za kulevya huua Panya Road
Nayakumbuka sana yale majadiliano tuliokuwa nayo miaka ile ya shule za msingi na sekondari katika juhudi za walimu kutufanya tujue Kiingereza. Moja ya mada ninayokumbuka ni ‘town life is better than village life’, yaani maisha ya mjini ni bora kuliko yale ya kijijini. Sikumbuki mimi nilikuwa napendelea upande upi kati ya maisha ya mjini au kijijini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*AopHhhFW5UkeFaPEm5XwCKpJYOzm*P2kqqoy*MUhkRozVA5pX3E3fn7ZIrtbUrOStPR9mq7l599VxVjMjegvIU/FRONTAMANI.jpg?width=650)
KIGOGO SACCOS ANASWA NA MTEJA
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KUNA madai kwamba, kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali amenaswa gesti akiwa na mke wa mtu bila kujulikana waliingia kufanya nini, Amani linakupa picha nzima. Kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali akiwa na mke wa mtu gesti. Tukio hilo la aina yake lilijiri kwenye gesti moja (jina...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eLHN8oMALTw/U7PWx8cIZCI/AAAAAAAFuNA/BpKoptrufwc/s72-c/82b03bb3174022e75e7798d09384a2a2.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Mambo yasiyofaa kumfanyia mteja
Wateja ni nguzo kuu ya ujasiriamali kwani bila wateja hakuna biashara. Mteja anahitaji huduma nzuri ili afurahie fedha yake. Mteja apatapo huduma nzuri atarudi tena na tena.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
India, mteja mkubwa wa mafuta ya Nigeria
Serikali ya Nigeria inasema kuwa India imekuwa nchi inayonunua mafuta ghafi kwa wingi kutoka kwake kuliko Marekani
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Akamatwa akitafuta mteja wa mtoto albino
Mtu mmoja amekamatwa na polisi akiwa katika harakati za kutafuta soko la kuuza mtoto mdogo wa dada yake ambaye ana ulemavu wa ngozi mwenye umri wa miaka sita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania