Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Tumbaku huua watu 500 kwa siku

WATU takribani 500 hufariki duniani kwa siku kutokana na matumizi ya tumbaku. Hayo yalibainishwa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya ulimwenguni(WHO) Dk. Rufaro Chatora, katika mkutano uliowakutanisha wadau mbalimbali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Ninafanya mapenzi mara 500 kwa siku — Kim Kardashian

Kupitia promo ya msimu wa 10 wa kipindi cha TV cha ‘Keeping Up With the Kardashians’, Kim Kardashian ameshare habari nyeti kuhusiana na maisha ya mapenzi na mume wake Kanye West. Video hiyo inayorushwa kwenye kituo cha TV cha E!, Kardashian anasema: I’ve been having sex 500 times a day.” Kauli hiyo ilionesha kumshtua mdogo […]

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI

ROME, Italia
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki  dunia kutokana na ugonjwa wa Corona  katika kipindi cha saa 24.

Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.

Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Leo ni siku mbaya kwa wenye wapenzi wa ovyo

>Leo ni Siku ya Wapendanao ‘Valentine Day’. Lengo hasa la siku hii ni kuonyesha upendo kwa watu au mtu ambaye unampenda kwa dhati.

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI

Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi Bi. Hajjat Amina Mrisho Said akizungumza na Wadadisi na Wahariri wa madodoso ya Utafiti wa watu wenye Uwezo wa Kufanya Kazi kutoka mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara walio katika mafunzo ya siku 16 leo mjini Morogoro. Kulia Bw. Mhidini Mtindo, Mtakwimu Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu. Wadadisi na Wahariri wa madodoso ya watu wenye uwezo wa kufanya Kazi kutoka mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara wakiwa kwenye...

 

9 years ago

Mwananchi

Watu 1,500 wakumbwa na mafuriko Morogoro

Zaidi ya wakazi 1,500 wa kaya 250 katika Kitongoji cha Mbwamaji wilayani hapa Mkoa wa Morogoro, wamekumbwa na mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha hasara ya vitu mbalimbali, ikiwamo nyumba kubomoka na uharibifu wa mali.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu zaidi ya 2,500 wafukiwa na kifusi

Watu zaidi ya 2,500 wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na mmomonyoko wa ardhi Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo katika Jimbo la Badakhshan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani