Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo yasiyofaa kumfanyia mteja

Wateja ni nguzo kuu ya ujasiriamali kwani bila wateja hakuna biashara. Mteja anahitaji huduma nzuri ili afurahie fedha yake. Mteja apatapo huduma nzuri atarudi tena na tena.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Sheria kudhibiti mavazi yasiyofaa ipo’

 MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Masoud Othman amesema sheria ya kudhibiti mavazi yanayokwenda kinyume na utamaduni ya Mzanzibari ikiwemo ya kuwadhalilisha wanawake ipo na haijafutwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasanii kumfanyia ‘send-off’ JK

Dar es Salaam. Shirikisho la Muziki Tanzania linaandaa tamasha maalum la kumuaga na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuinua tasnia ya muziki kwa kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Best Records kumfanyia makubwa Kayala

UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...

 

10 years ago

GPL

MASTAA KUMFANYIA PATI LOWASA

Stori: Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangazwa kuwa anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015, mastaa mbalimbali wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia sherehe ya kumpongeza. Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper. Chanzo makini kilichopo ndani ya kamati ya wasanii hao wa Bongo Movies, kitendo cha Taasisi ya Twaweza kutangaza kuwa Lowassa...

 

9 years ago

GPL

VAN VICKER KUMFANYIA SAPRAIZI WEMA


Wema Sepetu ‘Madam’, akiwa na muigizaji wa Ghana, Van Vicker. Stori:melda Mtema ZIKIWA zimesalia wiki kadhaa kabla ya kufanyika kwa sherehe ya bethidei ya muigizaji Wema Sepetu ‘Madam’, muigizaji wa Ghana, Van Vicker amesema amemuandalia zawadi ya ‘sapraizi’ mrembo huyo katika sherehe yake hiyo muhimu.
Akifunguka hayo kupitia katika akaunti yake ya Instagram, Van alimtakia Wema heri ya siku yake ya kuzaliwa kisha...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Akana kumfanyia unyama yaya wake



SUBIRA SAID NA EVA MBESELE, TSJ MWANAMKE Amina Maige, mkazi wa Dar es Salaam, anayedaiwa kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, kwa kumng'ata meno sehemu mbalimbali na kumsababishia majeraha amekana mahakamani kutenda kitendo hicho. Amina alikana kumfanyia hivyo, Yusta Kashinde, jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, mbele ya Hakimu Yohana Yongolo, wakati akisomewa maelezo ya awali. Akimsomea maelezo hayo, Wakili wa Serikali, Tumaini Mfikwa, alidai Amina (42), mkazi wa...

 

9 years ago

Bongo5

Katy Pery kumfanyia kampeni Hillary Clinton

Hillary Clinton atapata shavu kutoka kwa mwanamuziki wa kike mwenye nguvu nchini Marekani, Katy Perry atakayeungana naye kwenye kampeni za urais. Perry – miongoni mwa wasanii wanaouza kazi zaidi duniani, mwenye followers wengi kuliko mtu yeyote, milioni 76.3, ataungana na Clinton huko Iowa, October 24. Clinton anawania kuja kuwa rais wa kwanza mwanamke nchini Marekani. […]

 

11 years ago

Habarileo

Mke kortini kwa kumfanyia fujo mumewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Singida, Anna Bonaventure (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Utemini, akikabiliwa na mashitaka ya kumfanyia fujo mumewe, Abdallah Ally (34) kwenye eneo lake la biashara.

 

11 years ago

Mwananchi

Amng’ata meno mtoto baada ya kumfanyia ukatili mkewe

>Wakati alipoolewa kuwa mke wa pili kwa mahari ya ng’ombe wanane, Katarina Mturi (22) alisindikizwa kwa ngoma na tamaduni za Kabila la Kikurya, wala hakuamini kama kuna siku ataichukia ndoa hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani