Amng’ata meno mtoto baada ya kumfanyia ukatili mkewe
>Wakati alipoolewa kuwa mke wa pili kwa mahari ya ng’ombe wanane, Katarina Mturi (22) alisindikizwa kwa ngoma na tamaduni za Kabila la Kikurya, wala hakuamini kama kuna siku ataichukia ndoa hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Suarez amng'ata Chiellini
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Shabiki amng'ata mwenziwe Kenya
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Mtuhumiwa amng’ata mdomo askari
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
KARANI wa Kampuni ya Mabasi ya abiria yaitwayo Happy African, Eliud Mwanyonga (40), amemng’ata mdomo askari wa kikundi cha ulinzi shirikishi aliyefahamika kwa jina moja la Ernest.
Tukio hilo lilitokea Ijumaa iliyopita saa 12 alfajiri katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani wakati askari huyo alipokuwa katika shughuli zake za kila siku.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, James Zebedayo, aliliambia MTANZANIA Jumatatu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Qj8U7hlSkoqv*9c3Kjmnnd8Xd3mtgMqD4dLXvH0wYUpZaUSlvwB4JAvu-kBlXYs50W6CWidT2sXz3KfDKM1PBK/article26674601F17D69300000578470_964x386.jpg?width=650)
SUAREZ AMNG’ATA MTU, ITALIA YATUPWA NJE
11 years ago
Mwananchi25 Jun
BRAZIL 2104: Suarez amng’ata beki wa Italia, Ivory Coast chali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH0hAHlIuQAc32jJ6Smu43OJd9AtUQ50BYqJwniIimX4-aDGtpw1*32rIy8orkOSGS0IkbDp3K3Crv80y8Owv*dy/serengeti.jpg?width=650)
MAMA AMNG’ATA ULIMI ‘SERENGETI BOY’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXggs6Ez*GDgaViEpYuKK7OodLyCURQs401MzuJLByf**LkSfhgXtn4ZB4ZfvsYyfOoeTm4PUbEWeiQdSCIq4Km/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
MUME ALIVYOMFANYIA UKATILI MKEWE
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI
MWANANCHI Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana […]
The post Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI appeared first on...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe
MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.