Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amng’ata meno mtoto baada ya kumfanyia ukatili mkewe

>Wakati alipoolewa kuwa mke wa pili kwa mahari ya ng’ombe wanane, Katarina Mturi (22) alisindikizwa kwa ngoma na tamaduni za Kabila la Kikurya, wala hakuamini kama kuna siku ataichukia ndoa hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Suarez amng'ata Chiellini

Mshambulizi wa Uruguay Luiz Suarez amemng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Cheillini katika mechi ya mwisho wa kundi D

 

10 years ago

BBCSwahili

Shabiki amng'ata mwenziwe Kenya

Mwanamume mmoja mjini Kisumu magharibi mwa Kenya, alimng'ata sikio jirani yake baada ya mechi ya soka ya ligi ya uingereza iliyokuwa na matokeo yasiyo ya kuridhisha kwa mmoja wao.

 

11 years ago

Mtanzania

Mtuhumiwa amng’ata mdomo askari

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

KARANI wa Kampuni ya Mabasi ya abiria yaitwayo Happy African, Eliud Mwanyonga (40), amemng’ata mdomo askari wa kikundi cha ulinzi shirikishi aliyefahamika kwa jina moja la Ernest.

Tukio hilo lilitokea Ijumaa iliyopita saa 12 alfajiri katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani wakati askari huyo alipokuwa katika shughuli zake za kila siku.

Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, James Zebedayo, aliliambia MTANZANIA Jumatatu...

 

11 years ago

GPL

SUAREZ AMNG’ATA MTU, ITALIA YATUPWA NJE

Sao Paulo, Brazil
TIMU ya taifa ya Uruguay imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia nchini Brazil, lakini kituko ni straika wa timu hiyo, Luis Suarez kumng’ata beki wa Italia kwenye Dimba la Das Dunas. Beki wa Italia, Giorgio Chiellini akionyesha sehemu aliong'atwa na Suarez. Uruguay imefuzu hatua hiyo baada ya kuifunga Italia bao 1-0 katika mechi ya mwisho ya Kundi D ikiungana na Costa Rica ambayo...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2104: Suarez amng’ata beki wa Italia, Ivory Coast chali

>Mshambuliaji mtukutu wa Uruguay, Luis Suarez ameibua mkasa mwingine katika Kombe la Dunia baada ya kumng’ata begani beki wa  Italia, Giorgio Chiellini waliposhinda 1-0 katika mchezo wa mwisho wa Kundi D, huku Ivory Coast wakitupwa nje ya mashindano na Ugiriki kwa kufungwa 2-1.

 

10 years ago

GPL

MAMA AMNG’ATA ULIMI ‘SERENGETI BOY’

Na Joseph Ngilisho, Arusha
HATARI! Katika hali isiyotarajiwa, mwanamke mmoja aliyefahamika kama Mama Abuu amefanya tukio la ajabu baada ya kumng’ata na kumkata ulimi kijana Paulo Simon mwenye umri wa miaka 18, kufuatia ‘Serengeti Boy’ huyo kukataa kufanya naye mapenzi katika eneo la Tindigani, Kimandolu mjini Arusha hivi karibuni. Kijana Paulo Simon aliyekatwa ulimi na mwanamke mmoja anayefahamika kama...

 

10 years ago

GPL

MUME ALIVYOMFANYIA UKATILI MKEWE

Na Hamida Hassan
HUU ni ukatili uliopitiliza! Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Neema Mwita, anateseka katika Hospitali ya Mkoa wa Mara kufuatia jereha kubwa alilopata baada ya mumewe aliyemtaja kwa jina la Juma Mwita kummwagia uji wa moto kisa kikiwa ni kuchuma mahindi shambani bila ridhaa ya mumewe huyo.Akizungumza na Uwazi huku akimwaga machozi kila wakati, mwanamke huyo alisema siku ya tukio, yeye na mumewe...

 

9 years ago

MillardAyo

Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI

MWANANCHI Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana […]

The post Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI appeared first on...

 

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe

MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani