Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigoma, Tabora wazembea matumizi uzazi wa mpango

MIKOA ya Kigoma na Tabora inaelezwa kuwa na matumizi ya chini ya njia za uzazi wa mpango, jambo linalochangia mikoa hiyo kuwa na ongezeko kubwa la watu zaidi ya idadi ya kitaifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wahamasishaji jamii kuongeza nguvu ya kampeni mpya ya uzazi wa mpango Kigoma

E80A5052

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu (katikati) akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari,waganga wakuu wa wilaya mkoani Kigoma na wahamasishaji jamii kuhusu uzazi wa mpango ikiwa ni sehemu ya  kampeni ya uzazi wa mpango ijulikanayo thamini uhai Jitofautishe.

*Wahamsishaji jamii waliofuzwa watafanya kazi na kampeni ya Thamini Uhai kuhamasisha faida za uzazi wa mpango*

Mkutano na waandishi wa habari mkoani Kigoma umeainisha nafasi muhimu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango

JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.

 

9 years ago

Habarileo

Wataka kipaumbele uzazi wa mpango

BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee

wanaume nchini Tanzania wameamua kuwahama wake zao kama njia mbadala ya kupanga uzazi.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango

WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni uzazi wa mpango zahamia baa

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya, wanatarajia kuendesha kampeni ya uhamasishaji wa uzazi wa mpango kwa jamii katika maeneo ya mabaa na vilabu vya pombe mkoani Kigoma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vatican: Uzazi wa mpango suluhu ya mazingira

Cardinali mmoja , mshauri wa Papa Francis katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi ameiambia BBC kuwa mpango wa uzazi utasaidia upatikanaji wa athari za mabadiliko ya tabia nchi

 

9 years ago

Mwananchi

Dosari za kutumia uzazi wa mpango wa dharura

Kupata mimba ni jambo la baraka ingawa inategemea na mpokeaji wa hali hiyo. Wasichana wengi hasa walio na uwezo wa kushika mimba ambao wanasoma au hawajaolewa wamekuwa wakijihusisha na matukio ya kutoa mimba mara kwa mara bila kufikiria athari zitakazowakabili.

 

11 years ago

Habarileo

Huduma za uzazi wa mpango zatengewa bil.3/-

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetenga kiasi cha Sh bilioni 3 katika bajeti ya fedha ya mwaka 2014/15 kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani