Kijiwe kuliambia Bunge si kuliombea
BAADA ya kijiwe kusikia baadhi ya wababaishaji, wataka sifa na wachovu eti kuombea Bunge la Katiba lililoharibikiwa, kimeamua kukaa na kuwakemea wote waombaji na waombewa. Mgosi Machungi anaingia na salamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Dua ya kuliombea Bunge ni kiinimacho!
“USHIKWAPO shikamana” ni methali yenye maana kuwa ushikwapo na mtu shikamana au jitahidi. Methali hii yaweza kutumiwa kwa mtu aliyepatwa na tatizo kisha akapata mtu wa kumsaidia. Yamhimiza ajitahidi. Wengine husema...
11 years ago
Habarileo08 Mar
Wafanya ibada kuliombea Bunge Maalum
WANAWAKE wa Kikristo wa madhehebu mbalimbali katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamefanya ibada ya maombi maalumu kuliombea Bunge Maalumu la Katiba ili ipatikane Katiba yenye sura ya Kitaifa na si vinginevyo. Pia wamewaombea wale wote kwa sababu zao binafsi hawapendi kushuhudia Katiba mpya inapatikana nchini, tena kwa njia ya amani na utulivu kuliko ilivyo sasa ambapo vikao vya bunge hilo vimegubikwa na visa kadha wa kadhaa vinavyoashiria uvunjifu wa amani.
5 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE KUZINDUA PROGRAMU YA KULIOMBEA TAIFA, RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-c2noU-I9vfI/Xkg7vaUqI5I/AAAAAAALdhE/0qFIZlywFj8ED4afuu0gAu9obtSaYKBpQCLcBGAsYHQ/s640/Kiongozi-Mkuu-wa-Huduma-ya-Sauti-ya-Uponyaji-Tanzania-Nabii-Joshua-Aram-Mwantyala-akikagua-Ukumbi-wa-Mwalimu-Nyerere-Chuo-cha-Mipango-Dodoma-kwa-ajili-ya-kongamano..jpg)
Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala akikagua Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya kongamano.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kesho anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Kuliombea Taifa ambayo inalenga kumshirikisha Mungu vipaumbele na sera zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili matokeo chanya yazidi kuonekana kila sekta.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma katika Chuo...
10 years ago
Mwananchi08 Jun
MHIMILI: Bunge limegeuka kijiwe, limepotea njia
9 years ago
Habarileo03 Sep
Watakiwa kuliombea taifa
KONGAMANO la kimataifa la Kiislamu lenye lengo la kuombea amani nchini wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu, linatarajiwa kufanyika Oktoba 16, mwaka huu mkoani Dodoma.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Pasaka itumike kuliombea taifa
LEO ni Sikukuu ya Pasaka, ambapo Wakristo nchini wanaungana na wenzao duniani kote kuadhimisha kumbukumbu ya mateso, kifo na ufufuko wa Yesu Kristo. Pasaka ambayo huadhimishwa baada ya siku 40...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Kutoka-kushoto-ni-Mwenyekiti-wa-Dood-News-For-All-Ministry-Charles-Gadi-Mchungani-James-Manyama-na-Mchungaji-Leonard-Leonce-Kajuna-wa-kanisa-hilo..jpg)
Askofu kuliombea taifa mvua
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Wakatoliki Dar kuliombea taifa
10 years ago
GPLMAANDALIZI YA MKESHA KULIOMBEA TAIFA YAKAMILIKA