Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHIMILI: Bunge limegeuka kijiwe, limepotea njia

>Mkutano wa Bunge unaoendelea Dodoma na ambao kwa kiasi kikubwa unatarajiwa kujadili mipango na makadirio ya mapato na matumizi ya wizara mbalimbali, kwa wengi umechusha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu siyo mhimili wa Dola

Wakati huu ambao Bunge Maalumu la Katiba limeingia katika awamu ya pili ya kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba mpya, tulitarajia kwamba wajumbe wake, wakiwamo viongozi wa Bunge hilo wangekuwa tayari wamepata uelewa wa kutosha kuhusu dhana ya Bunge Maalumu la Katiba. 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe kuliambia Bunge si kuliombea

BAADA ya kijiwe kusikia baadhi ya wababaishaji, wataka sifa na wachovu eti kuombea Bunge la Katiba lililoharibikiwa, kimeamua kukaa na kuwakemea wote waombaji na waombewa. Mgosi Machungi anaingia na salamu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Handeni — Mkata mhimili wa kukuza uchumi

BARABARA ni njia inayounganisha maeneo mawili au zaidi. Katika nchi yoyote barabara imekuwa ndiyo njia kuu ya uchumi, kwa kuwa husafirisha wafanyabiashara pamoja na mizigo. Ndiyo maana  nchi yoyote yenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania ni mhimili mkuu wa uchumi Afrika Mashariki na Kati

Mkutano wa marais wa nchi zinazounda Ukanda wa Kati wa Kibiashara, Barani Afrika, wamekutana jijini Dar es Salaam na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza sekta ya miundombinu ya barabara na reli, kwa manufaa ya mataifa hayo.

 

5 years ago

Michuzi

Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Usomaji kwa mfumo wa kidijitali haimaanishi kupitia simu yako ya mkononi, kishikwambi au kompyuta. Ina maana ya kujenga uwezo wa kujifunza kwa kuwaunganisha walimu au wanafunzi popote walipo. Ni njia sahihi ya kujifunza inayoleta maana halisi.

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.

Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu

NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chajadili IpTL

BAADA ya kushuhudia hila, ghilba, minyukano na mizengwe kuhusiana na sakata zima la wizi wa fedha ya wachovu chini ya kashfa ya Esrew uliofanywa na baadhi ya wanene wasiogusika, Kijiwe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani