Bunge Maalumu siyo mhimili wa Dola
Wakati huu ambao Bunge Maalumu la Katiba limeingia katika awamu ya pili ya kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba mpya, tulitarajia kwamba wajumbe wake, wakiwamo viongozi wa Bunge hilo wangekuwa tayari wamepata uelewa wa kutosha kuhusu dhana ya Bunge Maalumu la Katiba.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jun
MHIMILI: Bunge limegeuka kijiwe, limepotea njia
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kiswahili fasaha kitumike Bunge la Katiba, siyo ‘Kiswanglish’
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge Maalumu liwakilishe Watanzania
WIKI hii Rais Jakaya Kikwete alizungumza na Baraza la Vyama vya Siasa pamoja na viongozi mbalimbali wa kisiasa na kidini walioalikwa katika mkutano huo maalumu. Rais Kikwete alitumia nafasi hiyo...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.
11 years ago
Habarileo15 Mar
Makatibu Bunge Maalumu waapishwa
YAHYA Hamis Hamad kutoka Zanzibar ndiye Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba. Katibu huyo jana aliapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo huku akiahidi kufanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kwa kufuata kanuni za Bunge hilo.
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba