Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJUNGU CHA ‘DEMU WA DIAMOND’ CHAMCHENGUA DIMPOZ

Na Hamida Hassan/Ijumaa
Umbile la mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Avril kutoka Kenya ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, hivi karibuni lilionesha kumchengua msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ baada ya kutupia picha inayomuonesha akikitolea macho kiwowowo cha demu huyo. Msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ akiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Video: Kisa cha Dimpoz kutomualika Diamond uzinduzi wa video yake

MSANII wa Bongo Fleva, Omari Nyembo “Ommy Dimpoz” amefunguka kisa cha yeye kutomualika staa mwenzake Diamond Platnumz kwenye uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya uitwao “Achia Body”.

Dimpoz alizindua wimbo wake huo mpya wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Akemi uliopo ndani ya jengo la Golden Jubilee Tower, ambapo ulihudhuriwa na baadhi ya wasanii wenzake kibao.
Wasanii waliojitokeza kumpa nguvu Ommy Dimpoz ni pamoja na Joh Makini, Ben Pol, Chege, Madee, Vanessa Mdee, Navy Kenzo Christian...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

ILA tuache utani huyu manzi ni mkaleeeeee Katika kudhihirisha kuwa NI MAMA BORA KWA WATOTO WAKE ZARI AMEWAJIBU WALE WANAODAI KAWATEKELEZA WATOTO WAKE WATATU NA KULA BATA NA DIAMOND__hivi ndivyo alivyopost katika acount yake ya FACEBOOK"Zala ababo obugumba obukatawanya mxxxuuuuiiiiii. I don't owe anyone an explanation but at the same time I have pple who look up to me and get disturbed by some false news out there.I love my soldiers. Out of the 365 days in year am responsible for 300 days and...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dimpoz, Diamond kuukaribisha 2014

WASANII wanaotamba katika bongofleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na Alikiba wamepanga kuachia ‘Collabo’ ya pamoja mwanzoni mwa mwaka ujao kama zawadi ya mwaka mpya kwa mashabiki...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dimpoz: Diamond Amepotea Maboya!

Katika kile kinachoashiriankuwa ni kunogewa na joto la mahaba, mwanamziki wa Bongo Fleva Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ nadaiwa kuanza kumcheka  swahiba wake Diamond Platnumz kwa kushindwa "kumpetipeti" na kumtumia ipasavyo aliekuwa mpezi wake Wema Sepetu.

Taarifa kutoka kwa mtu wa karibu  na Ommy zinasema kuwa  mwanamuziki huyu amekuwa akitoa maneno matamu matamu akimsifia Wema na wakati mwingine akimnanga Diamond.

“Inawezekana kwamba wapo katika project lakini ukweli ni kwamba Wema amtawala...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND NA OMMY DIMPOZ WAPAGAWISHA UK‏

Diamond akipandisha mzuka. Diamond na kundi lake la wasafi wakiwa mzigoni.…

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA, OMMY DIMPOZ WALIVYOIPAISHA TZ, AFRIMMA

Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth. Tuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz. Vanessa Mdee akiwa na tuzo. Hii ni orodha ya washindi. Best Male (South Africa) – AKA
Best Male…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani