Kikwete aaga wakulima huku akiwahimiza mapinduzi ya kijani
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akiwapungia mkono na kuwaaga wakulima na wafuagaji wakati wa kufunga Sherehe za Nane Nane mwishoni mwa wiki zilizofanyika Kitaifa katika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe kuashiria kuzinduliwa kwa Benki ya Maendeleo ya Kilomo nchini ambayo wakulima watapata huduma za kibenki ikowemo mikopo na kuwainua wakulima waweze kulima kwa uwezo wao. Hafla ya uzinduzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Mar
Tanzania yang’ara mapinduzi ya kijani
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika, zinazosonga mbele vyema katika utekelezaji wa mapinduzi ya kijani kwa kuwezesha wananchi wake kuwa na chakula cha kutosha. Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imetoa maelezo hayo, wakati wataalamu wake walipokuwa na kikao cha mwaka mjini Unguja na kufafanua kuwa wameridhishwa na jinsi Tanzania inavyoendelea kukabiliana na tatizo la mbegu na uzalishaji wake.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
PARACHICHI, DHAHABU YA KIJANI INAYOWANUFAISHA ZAIDI YA WAKULIMA 10,000 TANZANIA
Ni dhahiri kwamba kwa muda mrefu tumekuwa tukiangalia Parachichi kama zao la kawaida hasa katika nchi yetu ya Tanzania. Kwa sasa zao hili limekuwa kati ya mazao makuu ya biashara kutoka Tanzania.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HgvHLWIP7tc/Xr-S3qc9YxI/AAAAAAABMGw/ssOsFtUqzdEESFt_MqjlGf0--Oq-ehVMgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Ni Kweli kwamba zao hili linalopatikana kwa wingi Njombe, Iringa, Mbeya na Kilimanjaro lenye asili ya muda mrefu kutoka Guatemala Mexico sasa limekuwa kati ya mazao makubwa ya biashara duniani. Zao hili kwa sasa linaipatia nchi ya Tanzania takribani Shilingi Bilioni 27.6 kwa Mwaka ikiwa ni kutoka...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
9 years ago
Habarileo07 Oct
Kikwete aaga Kenya kwa kuhutubia Bunge
RAIS Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Kenya na kuwaaga wananchi wa Kenya huku akisisitiza ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya kwamba utadumu milele. Aidha, amesema anaamini Wakenya watakuwa wamepata fundisho kutokana na machafuko yaliyotokana na uchaguzi wa mwaka 2007 na hawatarudia tena.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s72-c/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
Rais Kikwete aaga rasmi Mahakama leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iHFCgvXPAIM/VcMaLRSmuPI/AAAAAAAHueY/qrhYG-gKWzk/s640/ArSkdPCR_VD2enKGankGAlit1BGV1qoUUZlQfioxmQTU.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AL9ohm2rtX8/VcMaLreclxI/AAAAAAAHueI/qn2gcGJw03A/s640/AtiukIqacVV0uf-SoLiKan86jonXedjvSPlzVDp4VudJ.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TOtRZUFB3JA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-whQZtXyJguA/VcNIz0KoQnI/AAAAAAAHujY/t_ly0NsKyjw/s640/m2.jpg)