Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete ahimiza ushirikiano na Msumbiji

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema ushirikiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa kudumu na umekuwa na manufaa makubwa ya kuimarisha mshikamano na umoja baina ya nchi mbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

RC Singida ahimiza ushirikiano

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone, amewataka wakazi wa Kanda ya Kati kutoa taarifa sahihi kwa wadadisi na wahariri wa utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi, ili Serikali iweze kutambua hali halisi ya ajira nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Shein ahimiza ushirikiano wa elimu na Comoro

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinRAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema historia ya kuanzishwa vyuo vikuu Zanzibar na Muungano wa Comoro inafanana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru ahimiza ushirikiano Afrika Mashariki

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesisitiza ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kama njia ya ukombozi wa kiuchumi

 

11 years ago

Habarileo

JK ahimiza ushirikiano kukabili tabia nchi

RAIS Jakaya Kikwete amesema kutokana na kiwango kilichofikiwa cha Tabia Nchi hivi sasa, nchi za Afrika hazina budi kuungana na kuchukua hatua za kupunguza madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa kwa pamoja.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo ahimiza ushirikiano ujenzi nyumba ya mwalimu

MBUNGE wa Kisarawe Mkoa wa Pwani, Selemani Jafo amewataka wananchi kushiriki katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao ili ikamilike kwa wakati badala ya kuiachia serikali pekee. Akizungumza na...

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete atembelea Bugne la Msumbiji

Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo akimkabirisha Rais Kikwete katika bunge hilo,kumtambulisha kwa baadhi ya wabunge na kufanya naye mazungumzo.Rais Kikwete aongea na Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica MacamoRais Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri huku Spika wa Bunge hilo Veronica Macamo akishuhudia.Rais Kikwete aongea na waandishi wa habari Bungeni Maputo (picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji

Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June mwaka 1975 kutoka kwa mkoloni Mreno.(picha na Freddy Maro).

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete ahimiza uhusiano mwema na Kenya

Rais wa Tanzania Jakaya Kimwete amelihutubia Bunge la Kenya na kuahidi kwamba uhusiano baina ya Kenya na Tanzania hautabadilika hata akiondoka mamlakani.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ahimiza maktaba kumbukumbu za Marais

Rais Jakaya KikweteMABADILIKO makubwa ya utawala wa kiuchumi yaliyofanywa na serikali ya awamu ya pili ya kuondoa taifa katika uchumi wa kijamaa na kuingiza katika uchumi wa soko, ni miongoni mwa mambo ambayo Watanzania wanatakiwa kuyajua kupitia kuwapo kwa hifadhi za kumbukumbu za Marais na utendaji wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani