Kikwete akunwa na vyama vingi
RAIS Jakaya Kikwete amesema mfumo wa vyama vingi vya siasa ni mzuri, umeleta matumaini kwa kupanua wigo na kufungua zaidi uwanja wa kisiasa na kuiwajibisha Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D6ze-PCHC0s/U6WUJ8oBVnI/AAAAAAAFsIY/n6zJH1bjawM/s72-c/Screen+Shot+2014-06-21+at+5.17.07+PM.png)
JK: Vyama vingi vimepanua wigo wa kisiasa
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6ze-PCHC0s/U6WUJ8oBVnI/AAAAAAAFsIY/n6zJH1bjawM/s1600/Screen+Shot+2014-06-21+at+5.17.07+PM.png)
Hata hivyo, Rais Kikwete amesema kuwa ili mfumo huo uboreshwe zaidi na uweze kuimarisha misingi mikuu ya maendeleo ni lazima uendeshwa kwa watu kufuata sheria na wala siyo kuingiza matumizi ya nguvu ambayo yanaweza kuvuruga nchi.
Rais Kikwete ambaye pia ni...
10 years ago
Uhuru Newspaper25 Mar
‘Vyama vingi vya ushirika vimejaa walaji’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimejaa walaji na hivyo wananchi walio wengi wamekuwa wakidhulumiwa haki zao na vyama hivyo kufa hovyo.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Mabogini, katika Wilaya ya Moshi Vijijini. Kinana alisema kumekuwa na ongezeko kubwa la vyama vya ushirika kwa ajili ya kusaidia makundi mbalimbali ya watu hapa nchini.
Alisema pamoja na ongezeko hilo, bado baadhi ya vyama hivyo...
9 years ago
Habarileo22 Sep
Zitto: Vyama vingi vimepoteza sifa ya kuzungumzia ufisadi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetamba kwamba ndicho chama pekee cha upinzani kinachoweza kuzungumzia ufisadi ambao ni tatizo kubwa la maendeleo nchini mbele ya wananchi.
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wanazuoni wajadili mustakabali wa Tanzania demokrasia ya vyama vingi
Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi.
Na Modewji Blog team
Dk. Benson Bana wa Chuo Kikuu cha Dare s salaam ambaye amebobea katika masuala ya siasa amewataka wadau wa siasa na wananchi kwa ujumla kuzuia uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kufuata Sheria na kutobeza mamlaka.
Dk Bana alisema hayo jana akijibu swali la msimamizi wa mdahalo wenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi ulioandaliwa na Msajili wa Vyama...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/Jaji-Francis-Mtungi-akifunguja-mkutano-wa-wadau-wa-siasa-wa-uimatishaji-demokrasia-ya-vyama-vingi.jpg?width=640)
WANAZUONI WAJADILI MUSTAKABALI WA TANZANIA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
‘chama kimoja, vyama vingi, chama cha mtu mmoja’
NINAANDIKA makala hii nikiwa na masikitiko makubwa mno.
Evarist Chahali
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Rais Kikwete avishukia vyama vya michezo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s72-c/D92A7195.jpg)
RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD
![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s1600/D92A7195.jpg)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...