Kikwete ayaonya mashirika binafsi
NA FURAHA OMARY
RAIS Jakaya Kikwete ameyaonya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOS), kuacha tabia ya kueleza habari mbaya ili yaweze kupatiwa fedha.
Alisema hayo jana mjini Dar es Salaam, alipokuwa akizindua Chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na matumizi ya tovuti, ambayo itakuwa imebeba taarifa mbalimbali za sensa hiyo.
ìNatoa wito kwa wananchi na wadau kusoma na kuzitumia vizuri takwimu hizi, kwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Utapeli wa mashirika binafsi wachangia kuwepo kwa Vikwazo Vya Maendeleo Afrika
Vitendo vya kitapeli vinavyofanywa na baadhi ya wamiliki wa mashirika yasiyo ya Kiserikali vimetajwa kuendelea kuikwamisha Afrika katika kupiga hatua za kimaendeleo.
Mkurugenzi wa kituo cha maendeleo na ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Denmark cha MS-TCDC kilichopo jijini Arusha Dokta Suma Kaare amesema utafiti umebaini asilimia kubwa ya misaada inayotolewa kupitia mashirika yasiyo ya kiserikali haiwafikii walengwa ambao ni wanajamii.
Dakta Suma ameongeza kwamba hali hiyo inarudisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
VYAMA VYA SIASA ,MASHIRIKA BINAFSI KATIKA MDAHALO JUU YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-flMQHjYM32k/VNC53P4yFcI/AAAAAAAHBSQ/Lbwjs2dB10E/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
9 years ago
Habarileo05 Oct
Kikwete aihakikishia sekta binafsi uwezeshaji zaidi
RAIS Jakaya Kikwete ameihakikishia sekta binafsi kuwa serikali ijayo itaendelea kuwawezesha watanzania kushiriki zaidi katika uchumi kwa kuendelea kuboresha mazingira ya kufanya biashara na kuvutia zaidi wawekezaji.
11 years ago
Michuzi04 May
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI IKULU JIJINI DAR ES ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s640/u1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U_tltq94G1g/Vc4WNWtlOLI/AAAAAAAHw0Y/M6ocTVnIUlk/s640/u2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVYh2YBy4Oo/Vc4WMtrhQvI/AAAAAAAHw0M/0CZ0XQc7T5c/s640/u5.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Mashirika ya umma balaa
11 years ago
Mwananchi29 Jun
SMZ yavunja mashirika mawili
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Hawala:Mashirika ya misaada yaonya
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Marekani yaonya mashirika ya ndege