Utapeli wa mashirika binafsi wachangia kuwepo kwa Vikwazo Vya Maendeleo Afrika
Vitendo vya kitapeli vinavyofanywa na baadhi ya wamiliki wa mashirika yasiyo ya Kiserikali vimetajwa kuendelea kuikwamisha Afrika katika kupiga hatua za kimaendeleo.
Mkurugenzi wa kituo cha maendeleo na ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Denmark cha MS-TCDC kilichopo jijini Arusha Dokta Suma Kaare amesema utafiti umebaini asilimia kubwa ya misaada inayotolewa kupitia mashirika yasiyo ya kiserikali haiwafikii walengwa ambao ni wanajamii.
Dakta Suma ameongeza kwamba hali hiyo inarudisha...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona : Hatari ya kuwepo kwa dawa bandia katika nchi za Afrika
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
VYAMA VYA SIASA ,MASHIRIKA BINAFSI KATIKA MDAHALO JUU YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-flMQHjYM32k/VNC53P4yFcI/AAAAAAAHBSQ/Lbwjs2dB10E/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4dhtICkvmFc/XnXc8IyFFSI/AAAAAAALkoo/xDAEBXMHpNYAhDEa0I77O428owBtblf3QCLcBGAsYHQ/s72-c/00d4c26c-9efd-48bc-834a-6d54675f76db.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.
Amesisitiza katika...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi marufuku ya misongamano inavyokumbana na vikwazo Afrika
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kikwete ayaonya mashirika binafsi
NA FURAHA OMARY
RAIS Jakaya Kikwete ameyaonya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOS), kuacha tabia ya kueleza habari mbaya ili yaweze kupatiwa fedha.
Alisema hayo jana mjini Dar es Salaam, alipokuwa akizindua Chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na matumizi ya tovuti, ambayo itakuwa imebeba taarifa mbalimbali za sensa hiyo.
ìNatoa wito kwa wananchi na wadau kusoma na kuzitumia vizuri takwimu hizi, kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TcW6JYbFqBI/VEfHYjjZJmI/AAAAAAAGssE/AnB9RQvf3iM/s72-c/D92A4947.jpg)
Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete
![](http://1.bp.blogspot.com/-TcW6JYbFqBI/VEfHYjjZJmI/AAAAAAAGssE/AnB9RQvf3iM/s1600/D92A4947.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CtZh2_Hp_Vs/VEfHZsfdZbI/AAAAAAAGssI/ikvYVyFPvLo/s1600/D92A5174.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
5 years ago
MichuziSADC WAPENDEKEZA KUONDOLEWA KWA VIKWAZO VYA KIBIASHARA MIPAKANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewataka watanzania kuendelea kudumisha umoja na Ushirikiano wa Kibiashara katika ukanda wa Jumuiya ya maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa ngazi ya Makatibu Wakuu uliofanyika kwa njia ya Mtandao (video conference) leo jijini Dar es Salaam, amesema Mkutano huo ni mahususi kwa...