Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapeli wa mashirika binafsi wachangia kuwepo kwa Vikwazo Vya Maendeleo Afrika

Vitendo vya kitapeli vinavyofanywa na baadhi ya wamiliki wa mashirika yasiyo ya Kiserikali vimetajwa kuendelea kuikwamisha Afrika katika kupiga hatua za kimaendeleo.

Mkurugenzi wa kituo cha maendeleo na ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Denmark cha MS-TCDC kilichopo jijini Arusha Dokta Suma Kaare amesema utafiti umebaini asilimia kubwa ya misaada inayotolewa kupitia mashirika yasiyo ya kiserikali haiwafikii walengwa ambao ni wanajamii.

Dakta Suma ameongeza kwamba hali hiyo inarudisha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Hatari ya kuwepo kwa dawa bandia katika nchi za Afrika

Idadi kubwa ya dawa bandia zinazohusishwa na virusi vya corona zinauzwa katika nchi zinazoendelea, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari

 

10 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA ,MASHIRIKA BINAFSI KATIKA MDAHALO JUU YA UCHAGUZI MKUU

Ofisa Mkuu kutoka taasisi ya Uandishi wa Habari na Utangazaji EABMT Rosemary Mwakitwange akifafanua jambo katika Mdahalo juu ya uchaguzi mkuu ujao kuhakikisha haki na amani inatawala,mdahalo huo ulishirikisha wanasiasa kutoka vyama vya siasa CHADEMA,CCM,CUF,NCCR na vingine pamoja na taasisi binafsi na viongozi wa kiserikali,mdahalo huo umeandaliwa na shirika la TWAWEZA umefanyika jana jijini Arusha. Washiriki wa Mdahalo juu ya uchaguzi mkuu ujao kuhakikisha haki na amani inatawala...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA


Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.

Amesisitiza katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi marufuku ya misongamano inavyokumbana na vikwazo Afrika

Nchi kadhaa barani Afrika zimetangaza marufuku ya misongamano je, utekelezaji upoje?

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kikwete ayaonya mashirika binafsi


NA FURAHA OMARY
RAIS Jakaya Kikwete ameyaonya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOS), kuacha tabia ya kueleza habari mbaya ili yaweze kupatiwa fedha.
Alisema hayo jana mjini Dar es Salaam, alipokuwa akizindua Chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na Kiuchumi, linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na matumizi ya tovuti, ambayo itakuwa imebeba taarifa mbalimbali za sensa hiyo.
ìNatoa wito kwa wananchi na wadau kusoma na kuzitumia vizuri takwimu hizi, kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro)

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama

Mamia ya wafanyakazi wamepatikana na virusi vya corona katika makapuni ya kutengeneza nyama na machinjioni

 

5 years ago

Michuzi

SADC WAPENDEKEZA KUONDOLEWA KWA VIKWAZO VYA KIBIASHARA MIPAKANI

Eric Msuya – MAELEZO

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewataka watanzania kuendelea kudumisha umoja na Ushirikiano wa Kibiashara katika ukanda wa Jumuiya ya maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.

Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa ngazi ya Makatibu Wakuu uliofanyika kwa njia ya Mtandao (video conference) leo jijini Dar es Salaam, amesema Mkutano huo ni mahususi kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani