Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete kuhutubia Baraza Kuu UN

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete ameondoka nchini kuanza ziara ya wiki mbili nchini Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete kuhutubia Bunge leo

Rais Jakaya Kikwete.BUNGE la 10 linamaliza shughuli zake leo kabla ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia na kulivunja mjini hapa. Rais atahutubia Bunge hilo saa 10:00 jioni baada ya kukagua gwaride la heshima, lililoandaliwa na Jeshi la Polisi katika viwanja vya Bunge mjini hapa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete kuhutubia Bunge la Kenya

Rais Kikwete atahutubia bunge la Kenya Jumanne wiki ijayo huku akiendelea kujiandaa kuondoka mamlakani.

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete kuhutubia taifa leo

kk

 

Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuhutubia taifa kupitia wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Katika mkutano wake huo utakaofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo jijini humo, pamoja na mambo mengine anatarajiwa kuzungumzia mwelekeo wa taifa.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Abilahi Mihewa, alithibisha kufanyika kwa mkutano huo.
“Unajua katika siku za hivi karibuni Rais alikuwa nje ya...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aaga Kenya kwa kuhutubia Bunge

RAIS Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Kenya na kuwaaga wananchi wa Kenya huku akisisitiza ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya kwamba utadumu milele. Aidha, amesema anaamini Wakenya watakuwa wamepata fundisho kutokana na machafuko yaliyotokana na uchaguzi wa mwaka 2007 na hawatarudia tena.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani