Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Tatizo la maji Handeni litakwisha

Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema licha ya kwamba amebakiza mwaka na miezi minane kabla ya kuondoka madarakani, atahakikisha tatizo la maji wilayani Handeni linapatiwa ufumbuzi wa kudumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete Ziarani Mkoa wa Tanga, azindua Mradi wa Maji Mkata, agawa madume bora ya ng'ombe handeni

Chipukizi wa Mkoa wa Tanga wakimkaribisha kwa maua Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika tarafa ya Mkata, wilayani Handeni mkoa wa Tanga, Rais Kikwete yupo Mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi   -Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Msomela wakatia  a lipokwenda kukabidhi madume bora ya ng’ombe kwa wafugaji leo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua baadhi ya madume bora ya ng’ombe na kasha kuwakabidhi baadhi ya wafugaji...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZIFUNGUA BARABARA ZA MKATA — HANDENI NA KOROGWE — HANDENI MKOANI TANGA.

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (mwenye koti jeusi katikati) akiwa na baadhi ya Mawaziri, Wabunge na Viongozi wa mkoa wa Tanga wakishiriki kuifungua rasmi barabara ya Handeni – Mkata na Handeni - Korogwe huko mkoani Tanga.  Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (aliyenyoosha mkono) akifurahia jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anayempongeza kiongozi wa kikundi cha ngoma ya Selo baada ya kutumbuiza wakati wa sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mkata – Handeni - Korogwe....

 

10 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.

02

 Ridhiwani Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MAJI ALIVALIA NJUGA TATIZO LA MAJI CHAKWALE

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla amesema Serikali itatatua tatizo la muda mrefu la maji katika kijiji cha Chakwale, Wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro wakati alipotembelea mradi wa maji kijijini Mhe. Makalla alisema tatizo la maji Chakwale tutalifanyia kazi na kuhakikisha tunalitatua, mimi na Mbunge, Shabiby tutashirikiana tulete maji katika kijiji hiki ambacho kimekua na malalamiko ya muda
 “Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza ...

 

9 years ago

StarTV

Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga

Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.

Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.

Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Shekifu alia na tatizo la maji


 MBUNGE wa Lushoto (CCM), Henry Shekifu, amelalamikia tatizo la maji mkoa wa Tanga na kuilaumu serikali kwa kutoa ahadi za mara kwa mara huku ikishindwa kuzitekeleza.
Akiuliza swali bungeni mjini hapa jana, Shekifu alisema kwa muda mrefu serikali iliahidi kupeleka maji katika wilaya ya Muheza lakini haijatimiza.
Aidha, Shekifu alitaka kuhakikishiwa kama kuna fungu lolote lililotengwa kwa ajili ya utekelezaji miradi ya maji katika wilaya hiyo kwenye bajeti ya mwaka huu wa fedha.
“Serikali...

 

10 years ago

Habarileo

Miundombinu ya kutibu maji bado tatizo

Mbogo Futakamba SERIKALI imesema hali ya ubora wa maji si nzuri kwa sababu sio sehemu zote zina miundombinu ya kutibu maji.

 

9 years ago

BBCSwahili

#Shinyanga:Wenyeji waelezea tatizo la maji

Watu wengi #Shinyanga wanasema kuwa kitu cha kwanza wanachokitaka rais ajaye awafanyie ni kuwahakikishia upatikanaji wa maji masafi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco

DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani