KILA MTU AJENGE CHAMA KWA NAFASI YAKE-PROFESA LIPUMBA.
Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wafuasi wa chama hicho waliojitokeza katika makao makuu ya chama hicho yaliyopo Buguruni jijini Dar es salaam,na kuwaambia kuwa CUF ni Taasisi,hivyo wanachama wote wanatakiwa kukijenga chama hicho wawe na vyeo ama wasiwe na vyeo kazi kubwa ni kukijenga chama cha CUF,Pro Lipumba aliyasema maneno hayo bila kutoa ufafanuzi wa kina.
Profesa Lipumba alitakiwa kuzungumza na waandishi wa habari katika makao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Mar
Kila mtu ni wa pekee na wa tofauti mpe nafasi katika maamuzi yake
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mbatia.jpg?resize=702%2C336)
Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi31 May
Chama cha wanasoka kitathmini nafasi yake katika usajili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPzaN68lS6g0VTdiJxn3PBr1*RrsY*F*5OT9bBAh62EDaVT*l6xkmm9EgvGFoPSldgEBNKpd4F8ztbcMHh1BOyTU/mahaba.jpg?width=650)
ETI WANANDOA, MBONA KILA MTU SIMU YAKE INA PASSWORD?
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
Irene Paul Atambulisha “PROJECT” yake, Asema Kila Mtu Nayake
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Irene Paul “Angelina Jolie” wa bongo sababu wengi humfananisha na mwigizaji na mwongozaji nguli huyo wa filamu wa huko marekani kwa muonekano wa sura hasa midomo ilivyojikata.
Tofauti na kwa mastaa wengine ambao huwa hawataki kuweka wazi “PROJECT” zao Irene amekuwa muwazi zaidi baada ya kutupia picha hiyo matandaoni na kuaandika maneno yanayo ashilia kuwa huyo jamaa ambae alim-TAG kwa jina la Duma.
Irene aliandika maneno haya kwa kifupi “kila mtu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s72-c/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
HAPO SASA MPAKA KIELEWEKE NGOMA UWANJANI KILA MTU NA KAULI MBIU YAKE KICHWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s640/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Jan
KUKAMATWA KWA PROFESA LIPUMBA: DEMOKRASIA IKO MASHAKANI
wamenijulisha kuwa, Profesa Lipumba na Manaibu Wakurugenzi wawili wa Chama Cha Wananchi CUF (Shaweji Mketo na Abdul Kambaya), pamoja na walinzi wa Profesa Lipumba, wamekamatwa na polisi. Pia, nimeongea na mhe. Joram Bashange, Mkurugenzi wa Fedha wa CUF, tayari yuko Central Police lakini hajaruhusiwa kuwaona viongozi. Mawakili wa CUF wanaelekea polisi pia.
KUMBUKIZI YA MWAKA 2001
Ukamataji huo uliotumia nguvu kubwa...